Napendekeza bima ya afya iwe ni kipaumbele cha kwanza kwa mwaka mpya 2025 katika malengo ya kila mdau na members wa JF

Napendekeza bima ya afya iwe ni kipaumbele cha kwanza kwa mwaka mpya 2025 katika malengo ya kila mdau na members wa JF

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ni hiyari sio lazima lakini ni muhimu sana, my friends ladies and gentlemen.

Wazo hili limenijia baada ya kuona mateso ambayo wengi tunayapitia tunapokumbwa na dhahama za maradhi mbalimbali, na kujikuta badala ya kwenda hospital kupata matibabu ya uhakika, tunajifungia majumbani na kujifariji na miti shamba kwasababu tu ya unyonge wa kipato dhidi ya gharama za matibabu.

Ndugu zangu, Mwaka mpya 2025, tufanye afya kua kipaumbele namba moja katika mipango na malengo yetu ya mwako, na sio toleo jipya la Iphones.

Usipuuze ushauri na pendekezo hili muafaka na mujarabu sana la hiyari kwa uhakika na amani ya afya yako, ili uinjoy hiyo iphone yako mpya ya mamilioni ya fedha, ukiwa na uhakika wa matibabu endapo utauguua.

Huna haja kunishukuru.

Heri ya ya Christmas na mwaka mpya 2025 in advance 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ni hiyari sio lazima lakini ni muhimu sana, my friends ladies and gentlemen.

Wazo hili limenijia baada ya kuona mateso ambayo wengi tunayapitia tunapokumbwa na dhahama za maradhi mbalimbali, na kujikuta badala ya kwenda hospital kupata matibabu ya uhakika, tunajifungia majumbani na kujifariji na miti shamba kwasababu tu ya unyonge wa kipato dhidi ya gharama za matibabu.

Ndugu zangu,
Mwaka mpya 2025, tufanye afya kua kipaumbele namba moja katika mipango na malengo yetu ya mwako, na sio toleo jipya la Iphones.

Usipuuze ushauri na pendekezo hili muafaka na mujarabu sana la hiyari kwa uhakika na amani ya afya yako, ili uinjoy hiyo iphone yako mpya ya mamilioni ya fedha, ukiwa na uhakika wa matibabu endapo utauguua.

Huna haja kunishukuru.

Heri ya ya Christmas na mwaka mpya 2025 in advance [emoji205]

Mungu Ibariki Tanzania
Idea ni nzuri ila hujaweka mikakati mbinu ya kufanikisha wazo lako hilo?
 
Idea ni nzuri ila hujaweka mikakati mbinu ya kufanikisha wazo lako hilo?
mikakati iwe ile ile ya kumiliki toleo jipya la Iphones gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom