NAPENDEKEZA captain John Komba awe spika wa bunge la katiba

NAPENDEKEZA captain John Komba awe spika wa bunge la katiba

NJALI

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
1,534
Reaction score
1,090
JAMANI wana janvi, napendekeza wajumbe wa bunge la katiba wampe kura za kutosha Captain Komba awe spika. Pia Kingunge Ngombale Mwiru awe naibu spika, Lusinde Livingstone awe Katibu wa Bunge hilo. Ni mtazamo tu, maana nawakubali sana hawa watu kwa kuwa na busara nyingi.
 
JAMANI wana janvi, napendekeza wajumbe wa bunge la katiba wampe kura za kutosha Captain Komba awe spika. Pia Kingunge Ngombale Mwiru awe naibu spika, Lusinde Livingstone awe Katibu wa Bunge hilo. Ni mtazamo tu, maana nawakubali sana hawa watu kwa kuwa na busara nyingi.

Kapime malaria ata mimi nakawaida ya kuwa na ndoto chafu .nikipima nakuta na malaria ,
 
Back
Top Bottom