Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Inafaa kujenga jengo jipya (kubwa) la Bunge Dodoma nje ya mji huko ili kuimarisha Ulinzi na kuongea nafasi ya maktaba na maegesho ya Helikopta na misafara. Pia sehemu za kupumzika ziongezwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo litasaidiaje katika uchumi wa Tanzania?Inafaa kujenga jengo jipya (kubwa) la Bunge Dodoma nje ya mji huko ili kuimarisha Ulinzi na kuongea nafasi ya maktaba maegesho. Pia sehemu za kupumzika ziongezwe
Uchumi utaimarika Zaid kupitia michango ya wabungeHilo litasaidiaje katika uchumi wa Tanzania?
Ndo maana wa Kenya wana tudharau kwamba IQ zetu ziko below average.Uchumi utaimarika Zaid kupitia michango ya wabunge
Wakikudharau inapandisha uchumi wa Tanzania?Ndo maana wa Kenya wana tudharau kwamba IQ zetu ziko below average.
Naam
Asante sana Kwa ufafanuzi
Kwahiyo sababu yako ni maegesho ya helikopta,misafara , na sehemu ya kupumzikia alafu huoni kwamba sababu zako ni ya kijinga?Inafaa kujenga jengo jipya (kubwa) la Bunge Dodoma nje ya mji huko ili kuimarisha Ulinzi na kuongea nafasi ya maktaba na maegesho ya Helikopta na misafara. Pia sehemu za kupumzika ziongezwe