Napendekeza Kikwete na viongozi wakuu wastaafu waongezewe ulinzi kipindi hiki cha uchaguzi

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Natoa pemdekezo viongozi wote wastaafu walio kuwa high level waongezewe ulinzi.

2025 ni mwaka wa uchaguzi hawa wazee wana nafasi kubwa kwenye maamuzi magumu ya uchaguzi hawatopendelea ila watatenda haki na kwa sababu hiyo wanahitaji special ulinzi ukihusisha in and outside security.

Huu mwaka sio mwaka rahisi, una mambo mengi sana, tunawahitaji wanaijua Tanzania na wanajua kule tuna naenda na sio kule tunataka enda.

Asante
 
Na sisi raia tuongezewe ulinzi dhidi ya chukuwachakomapema kwa ufisadi, wizi, kujilimbilikizia mali, unyama NGORONGORO, utekaji, dhuluma, kutokuwajibika nafasi zao, unyanyasaji, kuchafua IKULU, kupiga 10% kwenye mikataba mibovu, ukosefu wa elimu, maji, miundo mbinu na afya hasa vijijini!
 
Huo ulinzi utalipia wewe gharama zake?
 
Wewe si ndiye ulihusika na kifo cha Ben Saanane au umesahau?
 
Huyo KJ wako akinitangulia nitafanya sherehe, Mmafia sana
 
Uko Dunia Gani?
Ulinzi upi kwanA maana huu wa mwilini Haina issue km wa rohoni haupo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…