FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kwa kutumia mfumo huu wa ‘Human UBER Service’ (HUS) mtu anakuwa Na uwezo wa kwenda hadi Dodoma toka Dar ‘Virtually’ bila kusafiri, ambapo atafanya kazi zake Dodoma na kurudi Dar, muda wote hio akiwa amelala tu kwenye sofa nyumbani kwake.
Katika mfumo huu, vijana wasio na ajira huko Dodoma watajisajili kwenye database ya kampuni ya HUS, ambapo wataleta dhamana na wadhamini endapo lolote litatokea, wakate na bima ya Liability ikibidi.
Itakapotokea mteja aliyepo Dar es Salaam anahitaji kukodi kijana aliyepo Dodoma kumfanyia kazi zake za mizunguko ya kufuatilia vitu mbali mbali mfano vibali na shughuli zingine mbali mbali huko Dodoma, ataingia tu kwenye ‘app’ ya HUS na kuchagua mmoja wa vijana waliopo online na waliopo karibu na eneo analotaka kumfanyisha kazi (ili automatic bill charges ziwe ndogo), kisha watawasiliana kwa simu au whatsapp na atamueleza kwa kina ni task ipi anaitaka aifanye, mfano :
“Nenda wizara ya madini, ukifika wasialiana na mtu fulani, atakupatia document flani, ukitoka hapo nenda stendi ya basi, kisha itume kwenda mkoa flani kwa mtu flani nk.
Mfanyakazi akishatuma receipt ya bus kwa whatsapp maana yake ameshakamilisha Task, na mteja atapaswa kucheck kibox cha ‘Task complete’, na automaticall ‘Wallet’ yake ya (HUS) itakatwa pesa, ambapo mfanyakazi ataingiziwa pesa kwenye wallet (Tigo pesa) yake na wamiliki wa mfumo watakata comission yao, na serikali kuchukua kodi yake automatically.
Mfumo huu wa HUS unaweza kupunguza mauzo ya Ticket za SGR kati ya Dodoma na Dar es salaam, lakini hii ndio maana halisi ya ‘Uchumi wenye ufanisi’.
Nakaribisha maoni.
Katika mfumo huu, vijana wasio na ajira huko Dodoma watajisajili kwenye database ya kampuni ya HUS, ambapo wataleta dhamana na wadhamini endapo lolote litatokea, wakate na bima ya Liability ikibidi.
Itakapotokea mteja aliyepo Dar es Salaam anahitaji kukodi kijana aliyepo Dodoma kumfanyia kazi zake za mizunguko ya kufuatilia vitu mbali mbali mfano vibali na shughuli zingine mbali mbali huko Dodoma, ataingia tu kwenye ‘app’ ya HUS na kuchagua mmoja wa vijana waliopo online na waliopo karibu na eneo analotaka kumfanyisha kazi (ili automatic bill charges ziwe ndogo), kisha watawasiliana kwa simu au whatsapp na atamueleza kwa kina ni task ipi anaitaka aifanye, mfano :
“Nenda wizara ya madini, ukifika wasialiana na mtu fulani, atakupatia document flani, ukitoka hapo nenda stendi ya basi, kisha itume kwenda mkoa flani kwa mtu flani nk.
Mfanyakazi akishatuma receipt ya bus kwa whatsapp maana yake ameshakamilisha Task, na mteja atapaswa kucheck kibox cha ‘Task complete’, na automaticall ‘Wallet’ yake ya (HUS) itakatwa pesa, ambapo mfanyakazi ataingiziwa pesa kwenye wallet (Tigo pesa) yake na wamiliki wa mfumo watakata comission yao, na serikali kuchukua kodi yake automatically.
Mfumo huu wa HUS unaweza kupunguza mauzo ya Ticket za SGR kati ya Dodoma na Dar es salaam, lakini hii ndio maana halisi ya ‘Uchumi wenye ufanisi’.
Nakaribisha maoni.