Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Habari Tanzania!
Poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale kwa marika yote.
Napenda kutoa wazo kwa Utawala wa sasa na ule ujao kama itawapendeza na kuona inafaa kwao; na wanapenda kuona kesho yao ikiwa nzuri wanapaswa kwanza kulifufua upya Azimio la Arusha na baadae ndio pafanyike kusimikisha rasmi iliyokuwa Rasimu ya Katiba ya Warioba kuwa Katiba Mpya.
Hii itachochea kila kona ya nchi kwa pande zote Umma kuheshimika, rasilimali kuwa salama, mgawanyo mzuri wa madaraka na kisekta; siasa na biashara kutokukaa kwenye chungu au sufuria moja kama ilivyo sasa; na Taifa Tanzania litapona haswa haswa pasipo shaka lolote.
Mfano; Tazama changamoto za Kiutawala zinavyotokea katika Siasa, Biashara, Serikali na Michezo hii yote ni upungufu na ukosefu wa Azimio la Arusha na Katiba Mpya iliyochakatwa na Jaji Sinde Warioba.
Tanzania ni nchi nzuri sana.
Poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale kwa marika yote.
Napenda kutoa wazo kwa Utawala wa sasa na ule ujao kama itawapendeza na kuona inafaa kwao; na wanapenda kuona kesho yao ikiwa nzuri wanapaswa kwanza kulifufua upya Azimio la Arusha na baadae ndio pafanyike kusimikisha rasmi iliyokuwa Rasimu ya Katiba ya Warioba kuwa Katiba Mpya.
Hii itachochea kila kona ya nchi kwa pande zote Umma kuheshimika, rasilimali kuwa salama, mgawanyo mzuri wa madaraka na kisekta; siasa na biashara kutokukaa kwenye chungu au sufuria moja kama ilivyo sasa; na Taifa Tanzania litapona haswa haswa pasipo shaka lolote.
Mfano; Tazama changamoto za Kiutawala zinavyotokea katika Siasa, Biashara, Serikali na Michezo hii yote ni upungufu na ukosefu wa Azimio la Arusha na Katiba Mpya iliyochakatwa na Jaji Sinde Warioba.
Tanzania ni nchi nzuri sana.