FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kuhusu maendeleo ya kiteknolojia, Africa hatujalogwa na wala hatuna udhaifu wowote ule wa kimwili au kiakili unaotufanya tuwe nyuma kiasi hiki, bali ni mazingira ya makusudi tuliyowekewa na waliotutangulia kuhakikisha tunabaki nyuma zaidi ili tusipate uwezo wa kuzitumia rasilimali zetu na hivyo waweze kujichotea kwa urahisi, huku sisi tukibaki soko kwa ajili ya bidhaa zao.
Swali la kujiuliza, kama Japan wana akili sana kuliko wa Africa, ni kwanini hawakugundua uundaji wa magari mwaka 1200, au 1300, au 1500? Kwanini? Kwamba waingereza, WaItaliano, Wajerumani na Wajapan akili zao zililipuka tu ghafla kwa pamoja miaka ya 1900 mwanzoni na wote ubongo wao ukawa umepevuka na kupata werevu wa kuunda magari kwa pamoja?!
Jibu ni hapana! Teknolojia ilianza kwa mmoja wao, na pakafanyika ‘Technology Transfer’ kwenda kwa wengine! Hali kadhali kwa vifaa vingine vyote vya kiteknolojia, kama Tarakilishi , simu na simu janja; sasa ni kwanini hii ‘Technology Transfer’ inakwepeshwa kwa Makusudi huku Africa?!
Mbina kadha zilitumika na China kuhamisha Teknolojia toka Marekani kwenda kwao. Waliwapa makampuni ya Kimarekani ukumbi wa kuanzisha viwanda bila kutozwa kodi nchini China, huku wakiweka kima kidogo sana cha mshahara, ni kama mtu ulipe mfanyakazi laki 1 kwa mwezi, hata wewe kama unakampuni ya magari lazima ukimbilie China ili upate faida kubwa! Hapa ndipo China alipotumia mwanya huu kuiba technology karibu zote za Marekani!
Marekani pia walitumia mabavu kuiba technology nyingi za wanasayansi wa kiyahudi wa Adolph Hitler mwishoni mwa vita pili ya kuu ya dunia. Mfano ni Rocket science among others, wayahudi wengi wanasayansi waliokimbilia Marekani walikusanya na kuamrishwa watoe siri zote za kitaknolojia za Adolph hitler, hata Atomic Bomb ilitokea kwake.
Wahindi , Japan na Wengine wote wametumia mbinu zao kivyao ili kupata ‘Technology Transfer’.
Sasa kwakuwa sisi hapa tunao akina Faustine Mafweli, napendekeza kiundwe kikosi chini yake cha kwenda kuwateka wahindi wa daraja la chini (Lower caste) wanaofanya kazi viwandani ambao kule hawathaminiki kabisa, kisha wawekwe kwenye zile Karakana kama aliyopekwa Sativa, wabinywe kisawasawa hadi watufundishe A to Z kwa mfano motor zinaundwa vipi, Transformer zinaundwa vipi, from scratch, na hapa simaanishi theory zile tunazofundishea darasani, bali practically, motor iundwe na ikajaribiwe kusaga na kukoboa mahindi. Hadi tufike.
Mfano huyo muhindi hapo chini, tukiwateka kama hawa 100, hatufuki kweli?!
Na wakitekwa , tunapora na ‘Mold zote’ ikiwezekana
View: https://youtu.be/9OpwrbdyMvU?si=8bMkOHf9OpkO-_1A
Swali la kujiuliza, kama Japan wana akili sana kuliko wa Africa, ni kwanini hawakugundua uundaji wa magari mwaka 1200, au 1300, au 1500? Kwanini? Kwamba waingereza, WaItaliano, Wajerumani na Wajapan akili zao zililipuka tu ghafla kwa pamoja miaka ya 1900 mwanzoni na wote ubongo wao ukawa umepevuka na kupata werevu wa kuunda magari kwa pamoja?!
Jibu ni hapana! Teknolojia ilianza kwa mmoja wao, na pakafanyika ‘Technology Transfer’ kwenda kwa wengine! Hali kadhali kwa vifaa vingine vyote vya kiteknolojia, kama Tarakilishi , simu na simu janja; sasa ni kwanini hii ‘Technology Transfer’ inakwepeshwa kwa Makusudi huku Africa?!
Mbina kadha zilitumika na China kuhamisha Teknolojia toka Marekani kwenda kwao. Waliwapa makampuni ya Kimarekani ukumbi wa kuanzisha viwanda bila kutozwa kodi nchini China, huku wakiweka kima kidogo sana cha mshahara, ni kama mtu ulipe mfanyakazi laki 1 kwa mwezi, hata wewe kama unakampuni ya magari lazima ukimbilie China ili upate faida kubwa! Hapa ndipo China alipotumia mwanya huu kuiba technology karibu zote za Marekani!
Marekani pia walitumia mabavu kuiba technology nyingi za wanasayansi wa kiyahudi wa Adolph Hitler mwishoni mwa vita pili ya kuu ya dunia. Mfano ni Rocket science among others, wayahudi wengi wanasayansi waliokimbilia Marekani walikusanya na kuamrishwa watoe siri zote za kitaknolojia za Adolph hitler, hata Atomic Bomb ilitokea kwake.
Wahindi , Japan na Wengine wote wametumia mbinu zao kivyao ili kupata ‘Technology Transfer’.
Sasa kwakuwa sisi hapa tunao akina Faustine Mafweli, napendekeza kiundwe kikosi chini yake cha kwenda kuwateka wahindi wa daraja la chini (Lower caste) wanaofanya kazi viwandani ambao kule hawathaminiki kabisa, kisha wawekwe kwenye zile Karakana kama aliyopekwa Sativa, wabinywe kisawasawa hadi watufundishe A to Z kwa mfano motor zinaundwa vipi, Transformer zinaundwa vipi, from scratch, na hapa simaanishi theory zile tunazofundishea darasani, bali practically, motor iundwe na ikajaribiwe kusaga na kukoboa mahindi. Hadi tufike.
Mfano huyo muhindi hapo chini, tukiwateka kama hawa 100, hatufuki kweli?!
Na wakitekwa , tunapora na ‘Mold zote’ ikiwezekana
View: https://youtu.be/9OpwrbdyMvU?si=8bMkOHf9OpkO-_1A