Napendekeza ligi yetu iitwe SOKALIGI.

Hapa umewaza mkuu
 
Acha kututisha basi,mpirahauko hivyo,npira uwanjani sio kwenye makaratasi
 
hujaliona hilo premier league au unatakaje Na kuhusu kuitwa NBC premier league ni kwasababu ya udhamini
Sio kwamba Premier league tumekopi UK? Maana ufaransa, ujerumani, uhispania nk sioni neno premier
 
Jina ni Ligi kuu, ila kimombo ni premier league, la liga, komombo premier league
 
Naunga mkono hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…