Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Mchezo huu muhimu baina ya viongozi waandamizi wa vyama vya siasa nilivyo pendekeza kwa kuanzia, uchezwe uwanja wa Benjamin Mkapa mchana, na kiingilio kiwe ni bure kabisaa ...
Na kwakua itakuwa kama Bonanza la Kidemokrasia Nchini (BKN) na ufunguzi wa mwaka wa uchaguzi mkuu, mchezo wa CCM na CHADEMA, utanguliwe na michezo mbalimbali kama vile riadha, volleyball, basketball, football n.k baina ya vyama vya siasa vitakavyoshiriki.
Na utaratibu huu ufanyike kama ufunguzi wa mwaka wa uchaguzi, lakini pia kama tutafanikiwa kuanzisha mchakato wa katiba mpya basi ipigwe mechi kama hiyo ya kuzindua mchakato, na baada ya kupata katiba mpya pia, ipigwe mechi nyingine ya vyama vya siasa na makundi maalumu na taasisi nyingine mbalimbali kuzindua katiba mpya...
TCD, chukueni wazo hili dogo, mkalitathmini sawa sawa, kuliboresha na kuliratibu vizuri kadiri mtakavyoona inafaa.
Ni dogo lakini,
maana na umuhimu wake ni mkubwa sana kwa ustawi wa demokrasia yetu, udugu, umoja na amani ya kudumu miongoni mwa waTanzania wa itikadi tofauti tofauti za vyama vya siasa 🐒
Au mnaonaje ndugu zangu,
Si kuna haja ya kwenda kushuhudia burudani ya Lema na Makala wakisakata kabumbumbu na kumenyana vilivyo pale kwa Mkapa 🐒
Na kwakua itakuwa kama Bonanza la Kidemokrasia Nchini (BKN) na ufunguzi wa mwaka wa uchaguzi mkuu, mchezo wa CCM na CHADEMA, utanguliwe na michezo mbalimbali kama vile riadha, volleyball, basketball, football n.k baina ya vyama vya siasa vitakavyoshiriki.
Na utaratibu huu ufanyike kama ufunguzi wa mwaka wa uchaguzi, lakini pia kama tutafanikiwa kuanzisha mchakato wa katiba mpya basi ipigwe mechi kama hiyo ya kuzindua mchakato, na baada ya kupata katiba mpya pia, ipigwe mechi nyingine ya vyama vya siasa na makundi maalumu na taasisi nyingine mbalimbali kuzindua katiba mpya...
TCD, chukueni wazo hili dogo, mkalitathmini sawa sawa, kuliboresha na kuliratibu vizuri kadiri mtakavyoona inafaa.
Ni dogo lakini,
maana na umuhimu wake ni mkubwa sana kwa ustawi wa demokrasia yetu, udugu, umoja na amani ya kudumu miongoni mwa waTanzania wa itikadi tofauti tofauti za vyama vya siasa 🐒
Au mnaonaje ndugu zangu,
Si kuna haja ya kwenda kushuhudia burudani ya Lema na Makala wakisakata kabumbumbu na kumenyana vilivyo pale kwa Mkapa 🐒