Napendekeza mikopo yote inayokopwa na serikali itumike kulipa madeni, na makusanyo yote ya Kodi yatumike kwenye bajeti

Napendekeza mikopo yote inayokopwa na serikali itumike kulipa madeni, na makusanyo yote ya Kodi yatumike kwenye bajeti

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Namna pekee itayoweza kutuamsha kama nchi toka usingizini ni kujiuliza maswali kadhaa…

1.) Tanganyika inakopa jumla ya Trillion ngapi kwa mwaka?

2.) Tanganyika inalipa madeni Trillion ngapi kwa mwaka?

3.) Tanganyika inakusanya mapato ya ndani Trillion ngapi kwa mwaka?

Majibu

1.) Tangu 2021 hadi 2024 tunaambiwa deni limepanda toka Trillion 70 enzi za Ndugai hadi Trillion 100 katika kipindi hiki cha Chura kiziwi, ukigawanya unapata tunakopa wastani wa Trillion 10 kwa mwaka.

2.) Ulipaji wetu wa madeni ya nje, kwa taarifa tunazopewa huko bungeni, ni kwamba tunalipa Trillion 12 kama marejesho ya madeni na Riba kila mwaka.

3.) Makusanyo tunayoambiwa ya TRA pamoja na wengine ni wastani wa Trillion 2 kwa mwezi, Hivyo ni kama Trillion 24 kwa mwaka. Hivyo nusu ya makusanyo yanenda kulipa madeni.

Sasa najiuliza, au tuseme napendekeza. Kwakuwa tunacholipa kwa mwaka ni zaidi ya tunachokopa, ni kwanini basi Trillion zote 10 tunazokopa kwa mwaka zisibakie tu huko huko, zisije kwetu, halafu tuwe tunalipa tu Trillion 2 kwa mwaka kama riba ya madeni ambayo tulishachukuwa?

Maana ubaya wa kuendelea kutupa hiyo mikopo mipya mikononi mwetu, halafu ndio tuwarudishie kama malipo ya mikopo ya nyuma, ni wizi mkubwa wa watendaji wa serikali, ambapo hiyo mikopo kwa asilimia kubwa inaishia kwenye mifuko ya mafisadi serikalini, na kusababisha deni kupaa wakati hatujanufaika chochote na hiyo mikopo, na mwishowe tunakamuliwa kodi kuilipa, hivyo isipitie mikononi mwetu, wabaki nazo tu huko huko tuwe ndio kama tumelipa

Hivyo basi, waache kutukopesha, maana makusanyo yetu pekee yanatosha endapo tusingekuwa tunalipa mikopo. Kwahiyo basi Tanganyika isipewe mikopo, bali hiyo mikopo wabaki nayo moja kwa moja, na sisi tutalipa Trillion 2 tu kila mwaka kama riba, hadi deni litakapoisha.

IKUMBUKWE, NI RAHISI KUIBA MKOPO KULIKO KUIBA MAKUSANYO. MKOPO UNAWEZA KUSAINI NA HATA KULETWA USILETWE, LAKINI KWENYE BAJETI TUKAANZA KUKATWA PESA ZA MAKUSANYO KULIPA MKOPO HEWA!

Inshort Tanganyika, kama ilivyo nchi nyingi za Afrika, tumegeuzwa ng’ombe wa maziwa, tunalishwa debe moja la pumba ambayo inauzwa alfu 3, halafu tunakamulishwa maziwa ndoo 2 zenye thamani ya elfu 30, kisha tunashukuru aliyetupa msaada wa pumba. Mwingulu hebu fanya hivi utukwamue kwenye huu mtego, kuweni wazalendo, kuweni na huruma na binadamu wenzenu, mnashirikiana na mabeoari kutukamua kikatili, tutakamuliwa hivi hadi lini?!
 
Namna pekee itayoweza kutuamsha kama nchi toka usingizini ni kujiuliza maswali kadhaa…

1.) Tanganyika inakopa jumla ya Trillion ngapi kwa mwaka?

2.) Tanganyika inalipa madeni Trillion ngapi kwa mwaka?

3.) Tanganyika inakusanya mapato ya ndani Trillion ngapi kwa mwaka?

Majibu

1.) Tangu 2021 hadi 2024 tunaambiwa deni limepanda toka Trillion 70 enzi za Ndugai hadi Trillion 100 katika kipindi hiki cha Chura kiziwi, ukigawanya unapata tunakopa wastani wa Trillion 10 kwa mwaka.

2.) Ulipaji wetu wa madeni ya nje, kwa taarifa tunazopewa huko bungeni, ni kwamba tunalipa Trillion 12 kama marejesho ya madeni na Riba kila mwaka.

3.) Makusanyo tunayoambiwa ya TRA pamoja na wengine ni wastani wa Trillion 2 kwa mwezi, Hivyo ni kama Trillion 24 kwa mwaka. Hivyo nusu ya makusanyo yanenda kulipa madeni.

Sasa najiuliza, au tuseme napendekeza. Kwakuwa tunacholipa kwa mwaka ni zaidi ya tunachokopa, ni kwanini basi Trillion zote 10 tunazokopa kwa mwaka zisibakie tu huko huko, zisije kwetu, halafu tuwe tunalipa tu Trillion 2 kwa mwaka kama riba ya madeni ambayo tulishachukuwa?

Maana ubaya wa kuendelea kutupa hiyo mikopo mipya mikononi mwetu, halafu ndio tuwarudishie kama malipo ya mikopo ya nyuma, ni wizi mkubwa wa watendaji wa serikali, ambapo hiyo mikopo kwa asilimia kubwa inaishia kwenye mifuko ya mafisadi serikalini, na kusababisha deni kupaa wakati hatujanufaika chochote na hiyo mikopo, na mwishowe tunakamuliwa kodi kuilipa, hivyo isipitie mikononi mwetu, wabaki nazo tu huko huko tuwe ndio kama tumelipa

Hivyo basi, waache kutukopesha, maana makusanyo yetu pekee yanatosha endapo tusingekuwa tunalipa mikopo. Kwahiyo basi Tanganyika isipewe mikopo, bali hiyo mikopo wabaki nayo moja kwa moja, na sisi tutalipa Trillion 2 tu kila mwaka kama riba, hadi deni litakapoisha.

IKUMBUKWE, NI RAHISI KUIBA MKOPO KULIKO KUIBA MAKUSANYO. MKOPO UNAWEZA KUSAINI NA HATA KULETWA USILETWE, LAKINI KWENYE BAJETI TUKAANZA KUKATWA PESA KULIPA MKOPO HEWA!

Inshort Tanganyika, kama ilivyo nchi nyingi za Afrika, tumegeuzwa ng’ombe wa maziwa, tunalishwa debe moja la pumba ambayo inauzwa alfu 3, halafu tunakamulishwa maziwa ndoo 2 zenye thamani ya elfu 30, kisha tunashukuru aliyetupa msaada wa pumba. Mwingulu hebu fanya hivi utukwamue kwenye huu mtego, kuweni wazalendo, kuweni na huruma na binadamu wenzenu, mnashirikiana na mabeoari kutukamua kikatili, tutakamuliwa hivi hadi lini?!
Mikopo ni biashara ya watu duniani jamaa wanamiliki WORLD BANK IMF USAID na chuo cha havard na raisi atakayepinga kukopa watamuondoa madarakani au watamuua kama mwendazake aligoma kupokea hela za covid na watoto wa kike kurudi shule kilichomkuta unakijua sometimes tunawalaumu bure viongozi wetu ila kuna vitu wao wenyewe vinawashinda pitia kitabu kinaitwa Confession of an economic hit man you will how USA destroy the world.
 
Mikopo ni biashara ya watu duniani jamaa wanamiliki WORLD BANK IMF USAID na chuo cha havard na raisi atakayepinga kukopa watamuondoa madarakani au watamuua kama mwendazake aligoma kupokea hela za covid na watoto wa kike kurudi shule kilichomkuta unakijua sometimes tunawalaumu bure viongozi wetu ila kuna vitu wao wenyewe vinawashinda pitia kitabu kinaitwa Confession of an economic hit man you will how USA destroy the world.
Daah, kwahiyo hapa ni kama tunaporwa at gun point? Kwani wanaweza kutuua wote? Tusikubali!!
 
Daah, kwahiyo hapa ni kama tunaporwa at gun point? Kwani wanaweza kutuua wote? Tusikubali!!
Kwenye hicho kitabu wameandika kwamba sharti la kuchukua mkopo ni lazima ufanye kazi na taasisi zao za marekani ili ile hela yao irudi kwao halafu wewe wanakuacha na deni ulipe wakati wao washarudisha hela zao na kuna watu kabisa wa kitengo hicho wapo tayari na wao kufa ili kumuondoa raisi yoyote wa Africa atakayepinga amri kiufupi mkuu vita bado mbichi hii.
 
Kwenye hicho kitabu wameandika kwamba sharti la kuchukua mkopo ni lazima ufanye kazi na taasisi zao za marekani ili ile hela yao irudi kwao halafu wewe wanakuacha na deni ulipe wakati wao washarudisha hela zao na kuna watu kabisa wa kitengo hicho wapo tayari na wao kufa ili kumuondoa raisi yoyote wa Africa atakayepinga amri kiufupi mkuu vita bado mbichi hii.
Sawa, vita ni vita, sasa hatutaki hiyo mikopo sasa…
 
Namna pekee itayoweza kutuamsha kama nchi toka usingizini ni kujiuliza maswali kadhaa…

1.) Tanganyika inakopa jumla ya Trillion ngapi kwa mwaka?

2.) Tanganyika inalipa madeni Trillion ngapi kwa mwaka?

3.) Tanganyika inakusanya mapato ya ndani Trillion ngapi kwa mwaka?

Majibu

1.) Tangu 2021 hadi 2024 tunaambiwa deni limepanda toka Trillion 70 enzi za Ndugai hadi Trillion 100 katika kipindi hiki cha Chura kiziwi, ukigawanya unapata tunakopa wastani wa Trillion 10 kwa mwaka.

2.) Ulipaji wetu wa madeni ya nje, kwa taarifa tunazopewa huko bungeni, ni kwamba tunalipa Trillion 12 kama marejesho ya madeni na Riba kila mwaka.

3.) Makusanyo tunayoambiwa ya TRA pamoja na wengine ni wastani wa Trillion 2 kwa mwezi, Hivyo ni kama Trillion 24 kwa mwaka. Hivyo nusu ya makusanyo yanenda kulipa madeni.

Sasa najiuliza, au tuseme napendekeza. Kwakuwa tunacholipa kwa mwaka ni zaidi ya tunachokopa, ni kwanini basi Trillion zote 10 tunazokopa kwa mwaka zisibakie tu huko huko, zisije kwetu, halafu tuwe tunalipa tu Trillion 2 kwa mwaka kama riba ya madeni ambayo tulishachukuwa?

Maana ubaya wa kuendelea kutupa hiyo mikopo mipya mikononi mwetu, halafu ndio tuwarudishie kama malipo ya mikopo ya nyuma, ni wizi mkubwa wa watendaji wa serikali, ambapo hiyo mikopo kwa asilimia kubwa inaishia kwenye mifuko ya mafisadi serikalini, na kusababisha deni kupaa wakati hatujanufaika chochote na hiyo mikopo, na mwishowe tunakamuliwa kodi kuilipa, hivyo isipitie mikononi mwetu, wabaki nazo tu huko huko tuwe ndio kama tumelipa

Hivyo basi, waache kutukopesha, maana makusanyo yetu pekee yanatosha endapo tusingekuwa tunalipa mikopo. Kwahiyo basi Tanganyika isipewe mikopo, bali hiyo mikopo wabaki nayo moja kwa moja, na sisi tutalipa Trillion 2 tu kila mwaka kama riba, hadi deni litakapoisha.

IKUMBUKWE, NI RAHISI KUIBA MKOPO KULIKO KUIBA MAKUSANYO. MKOPO UNAWEZA KUSAINI NA HATA KULETWA USILETWE, LAKINI KWENYE BAJETI TUKAANZA KUKATWA PESA KULIPA MKOPO HEWA!

Inshort Tanganyika, kama ilivyo nchi nyingi za Afrika, tumegeuzwa ng’ombe wa maziwa, tunalishwa debe moja la pumba ambayo inauzwa alfu 3, halafu tunakamulishwa maziwa ndoo 2 zenye thamani ya elfu 30, kisha tunashukuru aliyetupa msaada wa pumba. Mwingulu hebu fanya hivi utukwamue kwenye huu mtego, kuweni wazalendo, kuweni na huruma na binadamu wenzenu, mnashirikiana na mabeoari kutukamua kikatili, tutakamuliwa hivi hadi lini?!
Kwa tafsiri yako unamaanisha wasikope kabisa?

Au wakope sehemu nyingine ili walipe madeni yaliyopo, yaani wahamishe madeni?
 
Kwa tafsiri yako unamaanisha wasikope kabisa?

Au wakope sehemu nyingine ili walipe madeni yaliyopo, yaani wahamishe madeni?
Kwakuwa wanatukopesha ni wale wale, IFM, World Bank.., basi hizo pesa wabaki nazo maana wakitupatia immediately tunawarudishia, sasa badala ya kutupa wabaki nazo, wawe wametukopesha ila bila kutupatia hizo pesa, kazi yetu sisi ni kulipa riba tu. Maana wakitupa tia zinaaemda matumboni mwa watu na deni linazidi kuongezeka badala ya kupungua..
 
Kwakuwa wanatukopesha ni wale wale, IFM, World Bank.., basi hizo pesa wabaki nazo maana wakitupatia immediately tunawarudishia, sasa badala ya kutupa wabaki nazo, wawe wametukopesha ila bila kutupatia hizo pesa, kazi yetu sisi ni kulipa riba tu. Maana wakitupa tia zinaaemda matumboni mwa watu na deni linazidi kuongezeka badala ya kupungua..
mmarekani mbaya sana, unakopeshwa kwa lazima na ukikataa wanakumaliza, mimi nawakubali wachina, walikataa huo ufala.
 
Kwakuwa wanatukopesha ni wale wale, IFM, World Bank.., basi hizo pesa wabaki nazo maana wakitupatia immediately tunawarudishia, sasa badala ya kutupa wabaki nazo, wawe wametukopesha ila bila kutupatia hizo pesa, kazi yetu sisi ni kulipa riba tu. Maana wakitupa tia zinaaemda matumboni mwa watu na deni linazidi kuongezeka badala ya kupungua..
Nawakubali wachina , wanajikubali na hawapelekeshwi na wamarekani,
maraisi wenu wanalazimishwa wakope, na wakikataa uuwi.
 
Kwenye hicho kitabu wameandika kwamba sharti la kuchukua mkopo ni lazima ufanye kazi na taasisi zao za marekani ili ile hela yao irudi kwao halafu wewe wanakuacha na deni ulipe wakati wao washarudisha hela zao na kuna watu kabisa wa kitengo hicho wapo tayari na wao kufa ili kumuondoa raisi yoyote wa Africa atakayepinga amri kiufupi mkuu vita bado mbichi hii.
mkuu we ni msomaj wa vitabu?.
 
Nawakubali wachina , wanajikubali na hawapelekeshwi na wamarekani,
maraisi wenu wanalazimishwa wakope, na wakikataa uuwi.
JPM alikataa mkopo wa Trillion 2 za Covid19 zenye masharti na mariba ya ajabu ajabu, kilichompata sote tunajua..
 
sio huko tu hata issue za industrial revolutionsa africa imepigwa bani, ili muendelee kuwategemea wao, nyinyi mkianzisha vya kwenu wao watauzia wapi?, kuna mwana CIA mmoja alijitoa na kuongea haya.
JPM alikataa mkopo wa Trillion 2 za Covid19 zenye masharti na mariba ya ajabu ajabu, kilichompata sote tunajua..
 
sio huko tu hata issue za industrial revolutionsa africa imepigwa bani, ili muendelee kuwategemea wao, nyinyi mkianzisha vya kwenu wao watauzia wapi?, kuna mwana CIA mmoja alijitoa na kuongea haya.
Unajua hata mimi nashangaa, inakuwaje Africa inakwama kabisa kwenye mapinduzi ya Viwanda? Maana sio kwamba teknolojia mfano ya magari kila mtu aligundia kivyake, ni kwamba ilianzia sehemu moja na wakafanya technological transfer, lakini huku hawataki kufanya hiyo transfer..
 
Yaani ni addiction kabisa mkuu siku nisipojisomea naona kama sipo sawa mkuu nimekuwa teja mkuu.
sawa mkuu, vipi umetamani ku create baadhi ya vitu? kufanya innovations ? vipi kuhusu uchumi umekuwa umejiongeza na kuachana na ajira?,
mana nami niko na interest ya usomaji ila ni mvivu, ila ku create new idea nina uwezo japo sisomi,

nina vitu nataka nivifanye ila sijui naanzia wapi, especially kwa nch kam tz.
 
sawa mkuu, vipi umetamani ku create baadhi ya vitu? kufanya innovations ? vipi kuhusu uchumi umekuwa umejiongeza na kuachana na ajira?,
mana nami niko na interest ya usomaji ila ni mvivu, ila ku create new idea nina uwezo japo sisomi,

nina vitu nataka nivifanye ila sijui naanzia wapi, especially kwa nch kam tz.
I have many ideas mkuu tatizo ni hela ndio changamoto and no body believe in us when we have nothing that's problem mkuu we have to prove ourselves
 
Back
Top Bottom