FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #21
Ila fakers wa noti ni rahisi kuwa na database ya uhakiki wa noti, sivyo?SIDHANI MAANA UNAPOSCAN INASOMA KWENYE SERVER ZAO NI NGUMU FAKER KUWA NA DATABASE YA KUHAKIKI USAHIHI WA RISITI
Zinatosha ila sio nzuri kwa user experience. Rahisi kwa mtu kufungua camera na kuscan kuliko kuanza kuandika character moja moja. Pia scanning inapunguza typosKwani zile serial number hazitoshi??
Ushamba huo..qr code inakaa receipts na bidhaa na sio kwa pesa..Je, nini yatakuwa manufaa / hasara za kuweka QR code kwenye noti za BOT?
=========================
Je, nchi kuchapisha pesa zake nje ya nchi ni sahihi?
Nina wasiwasi hawa tunaowapa kazi ya kuchapisha pesa zetu wanachapisha na makontena ya ziada na kuyaingiza kwenye mzunguko kimya kimya. Should i be concerned?www.jamiiforums.com
Tuendelee na mjadala, why so?Ushamba huo..qr code inakaa receipts na bidhaa na sio kwa pesa..
Idea hii ni nzuri, lakini nadhan challenge itakuwa kwamba unlike risiti za TRA. Bank notes haziwezi kuwa na extra info to make it easy to differentiate fake from original. Plus, hata BOT wakiexpose APIs kwa ajili ya kuprovide info ili to verify hizo notes, guys who make fakes watatumia same info kwenye notes zao and then bado unarudi pale pale.
Safi sana, tuendelee kujadili, tutafika tu....Hii itasaidia kwenye wizi...ukiwa na hela zako umestore qr codes ukaibiwa, unatoa taarifa polisi halafu wanafuatilia pale itakapotumika tu wanadetect na kuanzia hapo uchunguzi
Pesa zako ?!!!! Kwamba hizi ni kama Gold unaziweka for long term ?Hii itasaidia kwenye wizi...ukiwa na hela zako umestore qr codes ukaibiwa, unatoa taarifa polisi halafu wanafuatilia pale itakapotumika tu wanadetect na kuanzia hapo uchunguzi
I'm for Cashless...lakini vipi makato? Maana cash haina makato. Nikienda kununua nyanya na cash yangu hakuna transaction fee.Pesa zako ?!!!! Kwamba hizi ni kama Gold unaziweka for long term ?
Ukishakuwa na uwezo wa storage na majority wanao uwezo huo why have cash at all ?
The technology for cashless is available na muitikio ulishakuwepo hadi vijijini (Mpesa et al) Mpaka serikali ilipotia Tembo Maji wakati hata mgema hajasifiwa
Cashless ni cheaper in the long run kwa merchant na government..., hivi haujaona kuna sehemu hawa-accept cash ? au haujaona sehemu kuna incentives kwamba ukitumia cashless basi gharama inakuwa cheaperI'm for Cashless...lakini vipi makato? Maana cash haina makato. Nikienda kununua nyanya na cash yangu hakuna transaction fee.
Nope hao hao ndio watakuwa players unaweza usikatwe wakati wa kununua lakini utakatwa wakati wa kujaza (kwani sasa hivi hizo cash unazitoa chini ya godoro (fikiria kidogo hizo elfu kumi ulizonazo hapo umezipata vipi) kama hakuna transaction fees zozote....Now bear in mind, wakiweka system ya cashless bila makato basi ujue watakuwa wanaua bank sytems and hizi mpesa et al.
Kwamba government Tax wameshindwa kufikiri source nyingine (hao wabunge waende huko wakalime mahindi watulishe tuwalipe as hakuna wanachofanya cha maana mambo ya barabara tutalipia kwa kutumia levy kwa watuamiajiAmbazo ni major source of gvt tax.
Mpesa was already doing it hio ndio cashless yenyewe na nyongeza charges ilikuwa minor kwa mlipaji ingawa wadau mitaani wana-abuse the systemNa ukisema waweke system yenye fees....What would be the difference btn that and what we already have with Mpesa?
This is good but what if mtu ana fakes zenye same qr codeHii itasaidia kwenye wizi...ukiwa na hela zako umestore qr codes ukaibiwa, unatoa taarifa polisi halafu wanafuatilia pale itakapotumika tu wanadetect na kuanzia hapo uchunguzi
Hii iko vizuri. Hii inamake sense. So that’s definitely not your average qr code(basically an enhancement with a hash code) but also you don’t scan it straight from your camera and use your browser to open whatever link is hidden there. Using a proprietary app provides more control and hiding of more info. This could actually work and it doesn’t TRA receipts at all
Nimeikuta hiyo mahali
Tuendeleeni kujadili, tutafika tu..Anyways good thinking😀japo inaonekana ulikuwa familiar na unachokiongea. Japo watu wengi wamekupinga na kukushambulia. Inashangaza mtu hataki hata kuwaza the possibility of this happening
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haki ya naniMkuu,ungetufafanulia hiyo QR Code ni nini? Sababu nimeangalia kwenye madaftari yangu ya tuisheni kwa Ras Layon sijaipata maana yake.
Hii hii elfu kumi ambayo ukila lunch ukiongeza soda haitoshi? Labda waje na noti ya elfu 50.Ili kujua faida ndio swali la mleta swali ili iweje ?!!!! (yaani unasolve tatizo lipi)?
Sababu kama kuna QR Code au Uwezekano wa kuiweka na devices za kusoma zipo za kutosha kwanini uwe na hata hio noti ?!!!!
Unless unsema itapunguza noti feki ila si kuna mashine za kuhesabu pesa tayari zinazodetect fakes ?
In short umeleta solution ya kurahisisha mambo bila kuondoa ule ugumu wa hapo mwanzo (why have paper notes at all in this b-chain digital world)?!!!