Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Habari za leo wanajamvi.
Ni imani yangu ya kwamba sote tu wazima wa Afya.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa miaka pengine toka uhuru taifa letu halina salamu ya kudumu ya kitaifa isiofungamana na imani wa itikadi. Binafsi nimetafakari sana juu ya kauli mbiu ama salamu ya awamu ya 6 ya Comrade Mhe. Rais Samia S. Hassan. "Nawasalimu kwa jina la JMT" Kazi iendelee..
Pendekezo: Salamu ya kitaifa iwe " Uhuru na Umoja" kiitikio " Nguvu yetu" kisha tunarudia kinyume chake "Nguvu yetu" kiitikio "Uhuru na Umoja".
Naomba kuwasilisha.
Wasalaaam
Galileo_Gaucho
Ni imani yangu ya kwamba sote tu wazima wa Afya.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa miaka pengine toka uhuru taifa letu halina salamu ya kudumu ya kitaifa isiofungamana na imani wa itikadi. Binafsi nimetafakari sana juu ya kauli mbiu ama salamu ya awamu ya 6 ya Comrade Mhe. Rais Samia S. Hassan. "Nawasalimu kwa jina la JMT" Kazi iendelee..
Pendekezo: Salamu ya kitaifa iwe " Uhuru na Umoja" kiitikio " Nguvu yetu" kisha tunarudia kinyume chake "Nguvu yetu" kiitikio "Uhuru na Umoja".
Naomba kuwasilisha.
Wasalaaam
Galileo_Gaucho