Napendekeza: Tuchague MADIWANI NA WABUNGE tu, RAIS tuwaachie TIS

Napendekeza: Tuchague MADIWANI NA WABUNGE tu, RAIS tuwaachie TIS

Kanina

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
277
Reaction score
81
Ndugu zangu, uchaguzi wa mwaka huu, kama zilivyokuwa kwa chaguzi zingine zilizopita, pamoja na kutumia gharama nyingi, lakini pia zimeacha makovu mengi na hata kuhatarisha usalama wa nchi.
Pamoja na mikakati mingi ya hadharani na gizani, ni dhahiri kwamba, TIS nao hawakuwa mbali na mchakato huu..., na pengine ndio wametuchagulia Rais...!

Kwasababu hizo, ni vyema tukafanya mabadiliko ya kikatiba ya kuwaruhusu wazee wa kitengo watumie mbinu wanazozijua (za kisheria) kututafutia Rais wa JMT anayetufaa ambaye hatatokana na chama chochote cha siasa na sie tupambane kwenye level ya udiwani na ubunge tu.

NAWAKILISHA...!
 
Naunga mkono hoja kwa Upande wa Rais wa JMT.
Ila kwa upande wa Visiwani Zanzibar huko hakuna haja ya Uchaguzi wowote maana CCm ikishindwa huwa wanafuta matokeo yote ya uchaguzi. Ni bora hizo pesa za walipa kodi wa visiwani zikatumika kwa mambo mengine badala ya uchaguzi. Napendekeza CCM iendelee kutawala milele Visiwani.
 
Back
Top Bottom