Pre GE2025 Napendekeza Uchaguzi wa mwaka 2025 kuwe na Mdahalo wa Wagombea Urais Tanzania

Pre GE2025 Napendekeza Uchaguzi wa mwaka 2025 kuwe na Mdahalo wa Wagombea Urais Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kuli Msomi

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
266
Reaction score
625
Habairini za kazi ndugu Watanzania,

Ni maoni au mapendekezo yangu na baadhi ya Watanzania wachache pia ambao tupo advanced kimawazo, hakika ningefurahi zaidi Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka 2025 kuwe na mdahalo kwa Wagombea wote wa Kiti cha Uraisi Tanzania.

Pia ningependekeza mdahalo uwe usimamiwe na kurushwa mubashara na vyombo vya habari vya Kimataifa vinavyofanya kazi zake kwa usawa na haki na sio kwa uchawa na propaganda wa siasa za ndani ya Africa na Tanzania

Je, mnaonaje limekaa sawa hili jambo?
 
Habairini za kazi ndugu Watanzania

Ni maoni yangu au mapendekezo pia yangu na baadhi ya watanzania wachache ambao tupo advanced kimawazo, hakika ningefurahi zaid uchaguzi mkuu wa tanzania mwaka 2025 kuwe na mdahalo kwa wagombea wote wa kiti cha uraisi Tanzania.

Pia ningependekeza mdahalo uwo usimamiwe na kurushwa live na vyombo vya habari vya kimataifa kazi zake kwa usawa na haki na sio kwa uchawa na upropaganda wa siasa za ndani ya africa na tanzania

Je, mnaonaje limekaa Sawa hili jambo ? [emoji56]
Navyojua wazee wa wanyama wa madoadoa hawathubutu🫠
 
kwamba chama chenye mbunge moja wa jimbo, na kingine hakina hata diwani wala mjumbe wa Serikali za mitaa, kinakaa jukwaa moja na chama chenye zaidi ya wabunge 400 nchi nzima, madiwani na wenye viti wa mitaa maelfu kwa maelfu, right ?🐒

wanajadiliana nini sasa hapo kwa mfano? 🤣

si ni kupotezeana muda tu aise. ni vizur ambao hawana muda au wabunge na madiwani waka kaa pamoja na kuona namna ya kuwapata 🐒

mimi ninao wabunge wa kutosha, naenda kujadiliana nini na wasio nao?
 
kwamba chama chenye mbunge moja wa jimbo, na kingine hakina hata diwani wala mjumbe wa Serikali za mitaa, kinakaa jukwaa moja na chama chenye zaidi ya wabunge 400 nchi nzima, madiwani na wenye viti wa mitaa maelfu kwa maelfu, right ?🐒

wanajadiliana nini sasa hapo kwa mfano? 🤣

si ni kupotezeana muda tu aise. ni vizur ambao hawana muda au wabunge na madiwani waka kaa pamoja na kuona namna ya kuwapata 🐒

mimi ninao wabunge wa kutosha, naenda kujadiliana nini na wasio nao?
Hayo yalikuwa matokeo mchongo ya mbeleko la chumu,ongeza kimbia ofisi,teka wagombea,chakachua sanduku la mlo, na mengi mengine 😅
 
Sio kwa wagombea uraisi tu. Hata hao wabunge wakae pamoja kwenye mdaharo. Tukiwa na huu utaratibu tutaondoa mabubu bungeni, like kama mdahalo tu unashindwa utaweza kuishawishi nn serikali?
 
Back
Top Bottom