Napendekeza utaratibu wa points kwenye soka urekebishwe

Napendekeza utaratibu wa points kwenye soka urekebishwe

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Ili kuvutia ufungaji wa magoli mengi kwenye soka na kuongeza burudani, basi FIFA waanzishe utaratibu pale ambapo timu moja itafanikiwa kufunga zaidi ya magoli matatu bila basi waongezewe pointi moja zaidi.

Kwamba iwapo timu itafunga bao tatu bila Mpinzani kufunga goli basi badala ya point tatu tu za kawaida timu ifaidike kwa pointi moja ya ziada hivyo ziwe nne.

Yaani kwa ushindi wa bao 3-0, 4-1, 5-2, 7-2 n.k, ali mradi kuwe na tofauti ya Magoli matatu kati ya timu na timu, ila hata kama Timu moja itafunga mabao kumi bado faida ibaki hiyo pointi moja.

Kwa mfano siku pale Simba alipompiga Mtu bao tano basi walipaswa kupata ponti nne badala ya tatu tu za kawaida.
 
Ili kuvutia ufungaji wa magoli mengi kwenye soka na kuongeza burudani, basi FIFA waanzishe utaratibu pale ambapo timu moja itafanikiwa kufunga zaidi ya magoli matatu bila basi waongezewe pointi moja zaidi.

Kwamba iwapo timu itafunga bao tatu bila Mpinzani kufunga goli basi badala ya point tatu tu za kawaida timu ifaidike kwa pointi moja ya ziada hivyo ziwe nne.

Yaani kwa ushindi wa bao 3-0, 4-1, 5-2, 7-2 n.k, ali mradi kuwe na tofauti ya Magoli matatu kati ya timu na timu, ila hata kama Timu moja itafunga mabao kumi bado faida ibaki hiyo pointi moja.

Kwa mfano siku pale Simba alipompiga Mtu bao tano basi walipaswa kupata ponti nne badala ya tatu tu za kawaida.
Kwa sababu nyie makolo mlishinda 5-0 kwa red kadi za magumashi juzi mnataka mpewe point 4?
 
Kwa sababu nyie makolo mlishinda 5-0 kwa red kadi za magumashi juzi mnataka mpewe point 4?
Hata nyie siku mkishinda 3-0 mtapata hizo pointi 4, vivyo hivyo kwa Prison, Polisi, Namungo n.k.

Hakuna niliposema kuwa itakuwa ni kwa Simba tu.
 
mimi binafsi nakuunga mkono hilo wazo sipingi moja kwa moja,ila nataka wewe unipe mantiki ya kufanya hivyo ni nini hasa?
May Day
Mantiki mbona nimeielezea hapo.

Kwanza ihamasishe utafutaji wa magoli zaidi mchezoni badala ya timu kufunga goli moja na kuanza kupoteza muda na kupoteza ladha ya Soka.

Pia iwe kama reward kwa timu inayoshinda kwani hata Mchezaji anayefunga Magoli matatu anatunukiwa.
 
Hapo kabla mshindi alikuwa anapata points (alama) 2 tu.

So hata hili linawezekana muhimu uwashawishi FIFA washawishike.
 
Ili kuvutia ufungaji wa magoli mengi kwenye soka na kuongeza burudani, basi FIFA waanzishe utaratibu pale ambapo timu moja itafanikiwa kufunga zaidi ya magoli matatu bila basi waongezewe pointi moja zaidi.

Kwamba iwapo timu itafunga bao tatu bila Mpinzani kufunga goli basi badala ya point tatu tu za kawaida timu ifaidike kwa pointi moja ya ziada hivyo ziwe nne.

Yaani kwa ushindi wa bao 3-0, 4-1, 5-2, 7-2 n.k, ali mradi kuwe na tofauti ya Magoli matatu kati ya timu na timu, ila hata kama Timu moja itafunga mabao kumi bado faida ibaki hiyo pointi moja.

Kwa mfano siku pale Simba alipompiga Mtu bao tano basi walipaswa kupata ponti nne badala ya tatu tu za kawaida.
Wazo lako ni zuri Kwa asiyefikiria vizuri. Kuna ligi zitapata Bingwa mizunguko wa Kwanza tu.
 
Back
Top Bottom