FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ukipeleka mnara mmoja wa simu unahudumia vijiji 20 kwa mpigo. Ni hayo tu, labda kama kuna mengine ya kuongezea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utoto tuu, ukikua utaacha iiUkipeleka mnara mmoja wa simu unahudumia vijiji 20 kwa mpigo. Ni hayo tu, labda kama kuna mengine ya kuongezea
Operesheni vijiji miaka ya 1970.Ukipeleka mnara mmoja wa simu unahudumia vijiji 20 kwa mpigo. Ni hayo tu, labda kama kuna mengine ya kuongezea
Simaanishi ujamaa, kila mtu analima shamba lake kwa uwezo wake, atakaefanya kazi kwa bidii ndio atasonga mbele zaidi, ila tukipeleka transformer moja la umeme tunahudumia vijiji 10 kwa mpigo. Juzi kati nikiwa safarini kuingia Chemba ndani ndani nimecheka sana, Tanesco wameunguza matrillion kusambaza umeme kwa minguzo ya kibao , halafu unakuta mwishoni kabisa kumbe umeme ulikuwa umepelekwa kwenye nyumba hata tatu hazifiki. Ilibidi nisimame nishuke kuangalia vizuri, nilitafakari sana, nisijue nicheke au nilieOperesheni vijiji miaka ya 1970.
Chemba Jimbo la Mhe JuksSimaanishi ujamaa, kila mtu analima shamba lake kwa uwezo wake, atakaefanya kazi kwa bidii ndio atasonga mbele zaidi, ila tukipeleka transformer moja la umeme tunahudumia vijiji 10 kwa mpigo. Juzi kati nikiwa safarini kuingia Chemba ndani ndani nimecheka sana, Tanesco wameunguza matrillion kusambaza umeme kwa minguzo ya kibao , halafu unakuta mwishoni kabisa kumbe umeme ulikuwa umepelekwa kwenye nyumba hata tatu hazifiki. Ilibidi nisimame nishuke kuangalia vizuri, nilitafakari sana, nisijue nicheke au nilie
Simaanishi ujamaa, kila mtu analima shamba lake kwa uwezo wake, atakaefanya kazi kwa bidii ndio atasonga mbele zaidi, ila tukipeleka transformer moja la umeme tunahudumia vijiji 10 kwa mpigo. Juzi kati nikiwa safarini kuingia Chemba ndani ndani nimecheka sana, Tanesco wameunguza matrillion kusambaza umeme kwa minguzo ya kibao , halafu unakuta mwishoni kabisa kumbe umeme ulikuwa umepelekwa kwenye nyumba hata tatu hazifiki. Ilibidi nisimame nishuke kuangalia vizuri, nilitafakari sana, nisijue nicheke au nilie
Mipango ikipangwa itapangika tuIdea nzuri ila inahitajika mipango madhubuti ambayo sidhani Kama serikali itaweza
Nyerere aliwaza kwa mtindo huo, lakini binadamu hata umpe nini huwa haridhiki, anapenda uhuru wa kujiamria zaidi kuliko kuamriwa ama kupangiwa!Ukipeleka mnara mmoja wa simu unahudumia vijiji 20 kwa mpigo. Ni hayo tu, labda kama kuna mengine ya kuongezea