Napingana na Dr Bashiru, Kuviachia Vyuo vikuu viajiri kama zamani

Napingana na Dr Bashiru, Kuviachia Vyuo vikuu viajiri kama zamani

Lubengera

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2019
Posts
963
Reaction score
1,551
Akiwa Bungeni Dr Bashiru ameitaka serikali kubadilisha mfumo wa kuajiri kutoka Utumishi na kuviachia vyuo vikuu kuajiri. (Namkubusha tu 2019 alikuwa bado ni Magu, na katika hili watumishi wengi waliumia) Utumishi hawana kosa.

Adhma ya jambo hili ni jema lakini, athari zake ni kubwa sana, na litaturudisha nyuma sana.

Naomba mimkumbushe mambo machache yanayonifanya kutokubaliana nae.

1. Ukabila ( Kwa wale wanao ifahamu UDSM) watakubaliana na mimi kuwa hapo awali kulikuwa na ukabila, mkubwa sana (siwezo kutaja kabila, lakini ndio ukweli )

2. Watumishi kukosa haki ya kusikilizwa! Baada ya wizara ya utumishi kusimamia vyuo, watumishi wamekuwa na ahueni kubwa katika kuwasilisha kero zao wizarani na kutatuliwa.

3. Kudharau supporting staff, hili huendana na ubabe hasa kwa watumishi ambao ni supporting, Unakuta mtu ana CPA au Masters level kazi anazopewa aisee (Posting of voucher) kwa watu wa accounts wataelewa level hiyo inapaswa kufanywa na mtu wa leveli ipi.

4. Kuhusu supporting staff, nashauri kama chuo kinataka kujitegemea kabisa na kiachanane na utumishi, serikali itoe nafasi kwa watumishi hasa supporting staff, waliyotayari kuhamia taasisi nyingine wahame, ili UDSM wabaki na cream ya watu wao (Nadhana hapa ndipo wataelewa kuwa watumishi wako na hali gani)

5. Kuhusu kupandishwa vyeo, kwa uzoefu wangu ni kuwa Utumishi wanapokea ikama na kuidhinishwa haraka! Utumishi hawanaga longolongo! Jambo alilolisema Dr, liliwakumba watumishi karibia wote, Mtakumbuka sera za Magufili.

Kwa hili Dr, amewaonea utumishi kwakuwa, wizara wamekuwa haraka sana kushughulikia kero za watumishi,

Msiturudishe kwenye enzi za ubabe na dharau kwa supporting staff
 
Akiwa Bungeni Dr Bashiru ameitaka serikali kubadilisha mfumo wa kuajiri kutoka Utumishi na kuviachia vyuo vikuu kuajiri. (Namkubusha tu 2019 alikuwa bado ni Magu, na katika hili watumishi wengi waliumia) Utumishi hawana kosa.

Adhma ya jambo hili ni jema lakini, athari zake ni kubwa sana, na litaturudisha nyuma sana.

Naomba mimkumbushe mambo machache yanayonifanya kutokubaliana nae.

1. Ukabila ( Kwa wale wanao ifahamu UDSM) watakubaliana na mimi kuwa hapo awali kulikuwa na ukabila, mkubwa sana (siwezo kutaja kabila, lakini ndio ukweli )

2. Watumishi kukosa haki ya kusikilizwa! Baada ya wizara ya utumishi kusimamia vyuo, watumishi wamekuwa na ahueni kubwa katika kuwasilisha kero zao wizarani na kutatuliwa.

3. Kudharau supporting staff, hili huendana na ubabe hasa kwa watumishi ambao ni supporting, Unakuta mtu ana CPA au Masters level kazi anazopewa aisee (Posting of voucher) kwa watu wa accounts wataelewa level hiyo inapaswa kufanywa na mtu wa leveli ipi.

4. Kuhusu supporting staff, nashauri kama chuo kinataka kujitegemea kabisa na kiachanane na utumishi, serikali itoe nafasi kwa watumishi hasa supporting staff, waliyotayari kuhamia taasisi nyingine wahame, ili UDSM wabaki na cream ya watu wao (Nadhana hapa ndipo wataelewa kuwa watumishi wako na hali gani)

5. Kuhusu kupandishwa vyeo, kwa uzoefu wangu ni kuwa Utumishi wanapokea ikama na kuidhinishwa haraka! Utumishi hawanaga longolongo! Jambo alilolisema Dr, liliwakumba watumishi karibia wote, Mtakumbuka sera za Magufili.

Kwa hili Dr, amewaonea utumishi kwakuwa, wizara wamekuwa haraka sana kushughulikia kero za watumishi,

Msiturudishe kwenye enzi za ubabe na dharau kwa supporting staff
Huyo msaliti msimuamini. Eti tumia dola kubaki madarakani, mshenzi, mpuuzi mkubwa. Alaaniwe na uzao wake
 
Wewe inaonekana uko so personal...Vyuo vikuu vimebegazwa sana na sheria ya utumishi wa umma...Kupangia wahadhiri jinsi ya kufanya kazi Yao bila kuangalia nature ya kazi Yao nikukisa ufahamu wa jinsi vyuo vikuu vinatakiwa kuwa...Kisha support staff wanashindwa kujua roles zao vyuo vikuu, wanataka vyuo viemdeshwe kama Idara za serikali, kitu ambacho so sahihi kabisa
 
Wewe inaonekana uko so personal...Vyuo vikuu vimebegazwa sana na sheria ya utumishi wa umma...Kupangia wahadhiri jinsi ya kufanya kazi Yao bila kuangalia nature ya kazi Yao nikukisa ufahamu wa jinsi vyuo vikuu vinatakiwa kuwa...Kisha support staff wanashindwa kujua roles zao vyuo vikuu, wanataka vyuo viemdeshwe kama Idara za serikali, kitu ambacho so sahihi kabisa
Wewe ndio ufahamu. Tena nasisitiza hufahamu!

Kazi ya wizara ni kusimamia Fairness, vyuo vinapeleka mahitaji na sifa za watumishi wanao hitajika, tena zaidi, jopo la interview kunakuwa na wahusika kutoka chuoni!

Kazi ya wizara ni kusimamia taratibu na kanuni za utumishi wa umma.

Niambie mantik ya Dr Ni ipi kama watumishi wanapatikana ni wale wanaohitajika kwa sifa zile zile zilizohitajika??

Mnataka turudi kwenye enzi za ukabila chuoni??

Tena unaonekana hujui hata kidogo yanayiendelea huko.
 
Wewe ndio ufahamu. Tena nasisitiza hufahamu!

Kazi ya wizara ni kusimamia Fairness, vyuo vinapeleka mahitaji na sifa za watumishi wanao hitajika, tena zaidi, jopo la interview kunakuwa na wahusika kutoka chuoni!

Kazi ya wizara ni kusimamia taratibu na kanuni za utumishi wa umma.

Niambie mantik ya Dr Ni ipi kama watumishi wanapatikana ni wale wanaohitajika kwa sifa zile zile zilizohitajika??

Mnataka turudi kwenye enzi za ukabila chuoni??

Tena unaonekana hujui hata kidogo yanayiendelea huko.
Ardhi walijaa wachaga tu
 
Back
Top Bottom