moghasa
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 1,084
- 1,254
kuuona mwaka mpya ni jambo la kheri!
hongereni wakuuu, na poleni kwa kusherehekea!
ningeweza kusubili sikukuu ipite lakin mbele ya tatizo ngumu sana kuvuta subira!!!
kama kichwa kinavyojieleza! ndugu yenu tatizo lilinianza mwakajana mwezi may wakati napiga punyeto mara ghafula damu ikatoka pamoja na sperms, mbaya zaid nilivyoenda haja ndogo nilikojoa mabonge mabonge ya damu! baada ya kurudi haja ndogo nyingine mkojo ulikuwa safi!!
Ndugu zangu pia nikikutana na mama yenu kunako kitandani, hususani ingwe ya tatu damu hutoka tena!!
Au nikikosa utelezi wa kutosha hasa nikitumia kondom ndiyo kabisa nachochea tatizo!!!!
wakuu naombeni msaada tafadhari!!
NB. Nilitoka CHAPUTA baada ya tatizo!!
hongereni wakuuu, na poleni kwa kusherehekea!
ningeweza kusubili sikukuu ipite lakin mbele ya tatizo ngumu sana kuvuta subira!!!
kama kichwa kinavyojieleza! ndugu yenu tatizo lilinianza mwakajana mwezi may wakati napiga punyeto mara ghafula damu ikatoka pamoja na sperms, mbaya zaid nilivyoenda haja ndogo nilikojoa mabonge mabonge ya damu! baada ya kurudi haja ndogo nyingine mkojo ulikuwa safi!!
Ndugu zangu pia nikikutana na mama yenu kunako kitandani, hususani ingwe ya tatu damu hutoka tena!!
Au nikikosa utelezi wa kutosha hasa nikitumia kondom ndiyo kabisa nachochea tatizo!!!!
wakuu naombeni msaada tafadhari!!
NB. Nilitoka CHAPUTA baada ya tatizo!!