Napoli yapoteza wafuasi milioni 1.2 baada ya kumuachia Osimhen

Napoli yapoteza wafuasi milioni 1.2 baada ya kumuachia Osimhen

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Masaa 48 baada ya Victor Osimhen kutangazwa kama mchezaji mpya wa Galatasaray, Napoli imepoteza zaidi ya wafuasi milioni 1.2 kwenye Instagram baada ya Victor Osimhen kuondoka katika klabu hiyo.

Wakati huo pia Klabu ya Galatasaray imepata wafuasi zaidi ya milioni 2 kwenye Instagram ndani ya saa 48 baada ya kutangaza usajili wa Osimhen.
IMG_20240905_172347_073.jpg
 
tulikua on the same line aisee.Sijajua Maskini yake imetokana na Nini?
 
Back
Top Bottom