sangas
Senior Member
- Aug 26, 2012
- 135
- 95
Ndugu wanasheria niwekeni sawa kwa hili,
Kampuni yetu ina nyumba mjini, na mmoja wa wanahisa alikopa katika taasisi fulani na akaweka hati ya kampuni (bila makubaliano).
sasa mkopo hakumalizika kulipwa na wameshauza nyumba,nilifungua kesi, mhisa hakutokea naomba ushauri nifanyeje?
Kampuni yetu ina nyumba mjini, na mmoja wa wanahisa alikopa katika taasisi fulani na akaweka hati ya kampuni (bila makubaliano).
sasa mkopo hakumalizika kulipwa na wameshauza nyumba,nilifungua kesi, mhisa hakutokea naomba ushauri nifanyeje?