Narudi nyumbani dodoma, nakuwa mwanaume wa mkoa kwa muda.

Narudi nyumbani dodoma, nakuwa mwanaume wa mkoa kwa muda.

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2017
Posts
8,252
Reaction score
18,335
Kesho asubuhi na mapema naenda nyumbani dom city. Naenda kuwa mwanaume wa mkoani kwa kipindi cha miezi miwili na baada ya hapo nitakuwa mwaname wa dar tena. Naweza sema mimi ni half-cast wa mwanaume wa dar na mkoa😃😃😃😃

Mwanaume wa mkoa (dodoma) kama hamjawahi kula chips yai, bugger, pizza, mahindi ya kuchoma yenye limao na pilipili, miwa ya pakti😃😃, nakuleteeni muonjepo na ninyi. Kama hamjawahi kuliona daraja la kigamboni, daraja la tazara ( nasikia inaitwa fly-over) na magari ya mwendo kasi..picha zipo za kutosha, nitawapa muone nanyi msafishe macho. Mkipenda na body spray nitakuleteeni.

Na nyinyi wanaume wa dar nikirudi nitakuleeteeni ubuyu ulio kwenye tunda lake (please msije mkadhani ni kibuyu cha mganga wa kienyeji), nitakuleeteeni unga wa uwele muwapie wake zenu wawapikie ugali ( ila sijui kama wataweza kupika ugali wa unga wa uwele), ntakuleteeni mlenda original, na matuda ya asili kama fulu, mpelemehe, udawi, susuntha, nakadhalika.

Yote kwa yote, tuombeane uzima tu.

Wenu,
Half-cast wa mwaname wa dar na mkoani.
 
Ndio unaenda kulima eenh kama jiwe alivyosema mkuu
 
Mi niletee Njugu nawe za kuchemsha zikiwa na maganda yake

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Wasalimie wanaume wa mikoani na uwafundishe ujanja wakija mjini sio wanaobiwa kiboya
 
Kila la heri mkuu Mungu akufanyie wepesi kwenye kilimo urudi tena mjini jiji litakumiss
Sana mkuu, nishazoea kupishana na magari but sasa naenda kupisha na makundi ya mbuzi na kondoo, life is so sweet.
 
yule demu wako uliemtoa bikra kijijini dodoma sa hv kaolewa.
(najua haujawahi kumtoa binti bikra, ila nakupa moyo tu)
 
yule demu wako uliemtoa bikra kijijini dodoma sa hv kaolewa.
(najua haujawahi kumtoa binti bikra, ila nakupa moyo tu)
Hahahaha...nasikia ana mtoto sasa hivi. Atakuwana na miaka miwili now.
Kuimba ni kupokezana mkuu.
 
Kesho asubuhi na mapema naenda nyumbani dom city. Naenda kuwa mwanaume wa mkoani kwa kipindi cha miezi miwili na baada ya hapo nitakuwa mwaname wa dar tena. Naweza sema mimi ni half-cast wa mwanaume wa dar na mkoa😃😃😃😃

Mwanaume wa mkoa (dodoma) kama hamjawahi kula chips yai, bugger, pizza, mahindi ya kuchoma yenye limao na pilipili, miwa ya pakti😃😃, nakuleteeni muonjepo na ninyi. Kama hamjawahi kuliona daraja la kigamboni, daraja la tazara ( nasikia inaitwa fly-over) na magari ya mwendo kasi..picha zipo za kutosha, nitawapa muone nanyi msafishe macho. Mkipenda na body spray nitakuleteeni.

Na nyinyi wanaume wa dar nikirudi nitakuleeteeni ubuyu ulio kwenye tunda lake (please msije mkadhani ni kibuyu cha mganga wa kienyeji), nitakuleeteeni unga wa uwele muwapie wake zenu wawapikie ugali ( ila sijui kama wataweza kupika ugali wa unga wa uwele), ntakuleteeni mlenda original, na matuda ya asili kama fulu, mpelemehe, udawi, susuntha, nakadhalika.

Yote kwa yote, tuombeane uzima tu.

Wenu,
Half-cast wa mwaname wa dar na mkoani.


Unatua pande zip sasa pale, maili mbili, chang'ombe, mnadani, area a, c, d, e au nkuhungu....... au east zoo kwa wanachemba, kikuyu miyuji au nkonze.......... mi nahisi unarudi nzasa, zuzu, makutupora au bihawanaaaa.......

Dom naijua flan n i promise to come back asee...... ni kasehemu flani kamekaa kidwanz lakini kama unavihela vyako huna stress za kutafuta...... bas unainjoy tu...
 
Unatua pande zip sasa pale, maili mbili, chang'ombe, mnadani, area a, c, d, e au nkuhungu....... au east zoo kwa wanachemba, kikuyu miyuji au nkonze.......... mi nahisi unarudi nzasa, zuzu, makutupora au bihawanaaaa.......

Dom naijua flan n i promise to come back asee...... ni kasehemu flani kamekaa kidwanz lakini kama unavihela vyako huna stress za kutafuta...... bas unainjoy tu...
Huwa nikimbuka kuwa dodoma sasa hivi ni jiji nywele huwa zinasisimka kama nimehisi kitu cha kutisha.
 
Haya sawa tukutane ukifungua chuo mdogo wangu
 
Back
Top Bottom