Narudia tena, CHAMA ni mchezaji wa mechi ndogo

Umesahau aliwafanya nini pale kwa Mkapa kile kipindi cha kwanza mlipoutafuta kwa tochi, mkaja kupumua baada ya kocha kumtoa, uto una kumbukumbu fupi sana.

Leo huku kwetu ni mlete..... mlete.....mlete...!!
We jamaa ni muongo. Mayele kawapindua beki zenu na kusawazisha alikuwemo na alipotezwa pale kati.
 
Sina cha kukwambia zaidi ya kukusitikia utopolo wa head
 
Yani pale mtu anapoandika uzi kumnyea mtu ambae anaona kabisa ni tishio any way vinyesi ni vyenu nyie vifurumisheni tuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee kwa maumivu lol
 
Nikikumbuka Nkana walivyokufa kwa goli mtangazaji aliliuliza kama macho yake yanaona kama mimi nakuona kinyesi kimekujaa kichwani
 
Kwani we tatzo lako ninii!!!?

kama kopo lipo jirani hapo nenda toi ukanye hukooo!!😂😂

sie tuache na chama wetu. Awe mdogo awe mkubwa kwani we unawashwa washwa niiniii!!!!?
 
Mtoa mada yuko sahihi chama ni mchezaji wa kawaida wakucheza kwenye space anapokutana na ihefu hawezi kabisa kusajiliwa na timu yoyote kubwa.

Mkibisha mpangeni derby ijayo tuwakamue tena
 
Umesahau aliwafanya nini pale kwa Mkapa kile kipindi cha kwanza mlipoutafuta kwa tochi, mkaja kupumua baada ya kocha kumtoa, uto una kumbukumbu fupi sana.

Leo huku kwetu ni mlete..... mlete.....mlete...!!
Amefanya mra ngapi hiko mnachodai?

Nazungumzia consistance na sio fluke.[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…