Chama hajamfanya mtu yoyote kitu chochote hatukumbuki chochote zaidi ya makombe yamejaa kabatini , Kolo Fc hamna cha kutuambia lete mzungu wewe mavi ya kale hayanuki acha ubishoo tufungeni hivi sasa kuna Rais Injinia kama mnaweza @/#&&£=*"Umesahau aliwafanya nini pale kwa Mkapa kile kipindi cha kwanza mlipoutafuta kwa tochi, mkaja kupumua baada ya kocha kumtoa, uto una kumbukumbu fupi sana.
Leo huku kwetu ni mlete..... mlete.....mlete...!!
Chama huyu huyu ambae mpira ulimshinda kwa waarabu Berkane akasugua benchi mwaka mzima ila TK Master akatusua!! Chama huyu huyu ambae Nabi kampoteza mechi za derby!!Chama huyu huyuu alowahenyesha Kaizer chief hapa Lupaso
Chama huyu huyuuu alowahenyesha Ahly taifa hapa
Chama huyu huyuuu alowalaza na viatu As Vita hapa taifani na akatupia kamba ya millenia
Chama huyu huyuuu alowahenyesha na kuwatungua Nkana hapa Lupaso
Vijana muwe na heshima mjue na heshimuni watu
Ondoa hii kitu kiongoziUlishawahi kujiuliza kwanini huyu dogo anafanya vyema sana akiwa anacheza na timu za mikoani? Hivi kwanini akiwa nje ya Lupaso hana maajabu sana?
Ushawahi kujiuliza kwanini ameshindwa kuperfom vyema kwenye medani za waarabu tena nyakati mbili tofauti?
Yea. Jibu ni "Huyu ni mchezaji wa mechi ndogo" yaani uwezo wake unategemea pakubwa mapungufu ya mpinzani. Dogo hajawahi kutoa "WOW" type of perfomance katika medani kuu za soka barani afrika.
Yaani kiufupi ndio hivyo. Ndio maana hajawahi hata kumaliza dakika 90 kwenye Kariakoo Derby yeyote ile aliyo cheza, licha ya uwezo wake mnao uona kila siku.
Kibaya zaidi hana uwezo wa kuibeba timu, yaani timu ikiwa katika hali ya kuhitaji individual brilliance Chama hawezi kukupa hiko kitu.
Ni sawa kuonekanaa anaweza weza pale Simba kwa sababu klabu kwa sasa haina kariba ya wachezaji wa hadhi ya juu.
Au sioWala hatujali tunampenda hivyohivyo
Bwege huyoo yawezekna ni KICHAANikikumbuka Nkana walivyokufa kwa goli mtangazaji aliliuliza kama macho yake yanaona kama mimi nakuona kinyesi kimekujaa kichwani