Narudia tena, Mke wa mtu ni sumu

Mleta mada hiyo condom kupotelea ndanj na wake za watu kuwa sumu kumeingilianaje



Mbona mnapenda kutisha wenzenu ili tukimbiwe tukose utamu??????
 
Kwa uandishi huu utakuwa ulidisco chuo....
 
Huna lolote kibamia wewe.. yani condom haijaku fit had ikazama kweny shimo.. pole ndugu
 
Kumbe stori yenyewe ya jibaguzi la kisomali. Eish, umefanya niachane nayo. Sifichi. Nawachukia watu wote wanaobagua wenzao kwa kisingizio chochote. Waarabu, wahindi, wasomali, waethiopia na hata wabaguzi wa kidini, wote nawachukia. Nawachukia watu hawa kuliko hata Hayati Mtikila kuwa mkweli hata kama inaudhi. Angekuwa mama wa kisomali anafanyiwa hivyo na mbantu mbwaa wa kisomali ungefanya nini?
 
Hahahahahahaha ulifyonza na shahawa za mumewe

😂😂

 
Mimba hiyo jiandae kisaikolojia
 
Wewe una dalili za uchungaji aisee, hii tabia ya kula wake za watu ni ya wachungaji, unataja neno la Mungu na Yesu huku unakula tu wake za waumini wako kama hautaki vile. Hongera aisee kwa jitihada zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…