Mbona ndo zilezile tu๐๐๐unakuwa vikaptula hivi vingii then ndo mavaz yako haya sasa hivi vikaptula si vinaacha mapaja yako nje??? Kuna shida๐๐๐๐Sio izo za Machoko chaliangu,,namaanisha iziView attachment 1988261
Bro una hasira sana..mbona mm sipo ivo??..Mm nimtanzania kabisa nimezaliwa Arusha,sema asili yangu ndo Somalia 2 kaka..Ubaguzi waachie wenyewe,,mm nimezaliwa na kukua naona/nachanganyika na wabantu kuliko wasomali,,Somalia naendaga2 Mara moja moja ila kila kitu ni hapa bongo man..Pliz nitake radhi mkuu[emoji120]Kumbe stori yenyewe ya jibaguzi la kisomali. Eish, umefanya niachane nayo. Sifichi. Nawachukia watu wote wanaobagua wenzao kwa kisingizio chochote. Waarabu, wahindi, wasomali, waethiopia na hata wabaguzi wa kidini, wote nawachukia. Nawachukia watu hawa kuliko hata Hayati Mtikila kuwa mkweli hata kama inaudhi. Angekuwa mama wa kisomali anafanyiwa hivyo na mbantu mbwaa wa kisomali ungefanya nini?
Si ndioJamaa kamfumania mtu (tena mtumishi wa Mungu) ndani ya nyumba yake. Akamkamata na kumfunga kwa kamba miguu na mikono kisha kamuweka kwenye boot ya gari mpaka kwa mkuu wake wa kazi. Mkuu ingia kwenye boot chukua mzigo wako , atakueleze alifanya nini! Jamaa nduki mpaka nyumbani, hakuongea na mke wake, mke akafungasha na kuondoka. Narudia tena mke wa mtu ni sumu!
Hakikisha unakua na mafuta ficha hata kwenye masikio tu yatakusaidia endapo hesabu zako zikigoma...Nataka nionje mmoja
Uko sahihi kabisaa hata mimi niliwaza hivyo hivyo alafu hawa wavaa vinjunga na vibukta vifupi vifupi wengi ni upinde wa mvuaUlivyosema unava ikaptula vya rangi mbalimbali nikapata picha chalii ya mogadishu ndani kikaptula cha rainbow colors
Japo unaonekana kukwepa na kujitetea, maneno yako ya kuchanganyikana na wabantu, mimi ni msomali na mengine yanaonyesha wazi ulivyo mbaguzi hata kama hujui na kukana kuwa uko hivyo. Huwa sina tabia ya kufanya hitimisho jumuishi, wengi niliokutana nao na ninao wajua, hujiona wao ni bora kuliko hao wabantu. Jiulize. Wabantu walioko Somalia wanatendewa vipi ikilinganishwa nanyi ambao tumewapa hata uraia na uwaziri. Hapa kinachotakiwa ni jicho kwa jicho mdomo kwa mdomo uso kwa uso, kidole kwa kidole ili lau mtie adabu. Huyo malaya uliyelala naye angekuwa ni mama wa kisomali amefanya hivyo na mbantu, usingependa wala kushabikia. Hamfai kabisa. Hamna tofauti na magabacholi, wahindi na waarabu hata waethiopia hata watutsi. Kama kutaka radhi ni bora, basi wewe nitake mimi radhi, wabantu wote, malaya uliyelala naye na hata mumewe.Bro una hasira sana..mbona mm sipo ivo??..Mm nimtanzania kabisa nimezaliwa Arusha,sema asili yangu ndo Somalia 2 kaka..Ubaguzi waachie wenyewe,,mm nimezaliwa na kukua naona/nachanganyika na wabantu kuliko wasomali,,Somalia naendaga2 Mara moja moja ila kila kitu ni hapa bongo man..Pliz nitake radhi mkuu[emoji120]
Dah,nimecheka sanaIna mana hadi kondom ngareroo inakupwaya!? [emoji23]
msomali wa watu, alikua anaandika huku amepigwa na kitu kizito kichwani hakuwaza kuhusu hili๐คฃMbona ile kitu uwa inabana? Ina maana nanihiii yako ni nyembamba sana mpaka kitu inapwaya? ๐คฃ๐คฃ
Acha iwe siri yangu[emoji23][emoji23]Mbona ucheke?