Narudia tena, Mke wa mtu ni sumu

Mke wa mtu mtamu bana alafu anasema kaimisi ngoja amtyme mumewe tukaenjoy jamanii mie karma inanijazia malimbikizi ya malipo yangu 😒😒
 
We kwanza sio msomali bali mtu wa kusini hasa songea, nyambaafu
 
Poleni na mahangaiko kwa watu wote mliopo jamiiforum kwenye huu mtandao wetu pendwa
Your browser is not able to display this video.

Kwa kweli Mimi Sina neno
It's so sad imagine ndio kijana badala kutafuta vijana wenzako huko bize kumaliza nguvu zako za ujana kwa mijimama yenye familia isiojielewa
Wewe unakufa mwenzako anaendelea kupetaπŸ₯Ί
 
Ukijua kutennganisha mpumbavu na mjinga. . Utaishi... Wengi wetu wanaume ni wajinga ila sio wapumbavu... Wanawake ni WAPUMBAVU...msinijie huna mama ... Mama ninaye na dada ninao... Wanawake ni WAPUMBAVU... Ni watu wapuuzi waliokubuhu baada ya upuuuzi unakuwa mpumbavu... Hiiiiiiii yaani dada zangu wamezaaa nyumbani nagombana na mama eti niwapeleke wapi...baba zao si wapo!! ... Leo nahangaika nao wamezaliwa nyumbani hawawajui baba zao...mjomba nimekuwa mama nimekuwa Baba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…