Narudia tena, Mke wa mtu ni sumu

Sasa si ukawafokee hao dada zako na mama zako?
 
Sasa si ukawafokee hao dada zako na mama zako?
Kwani wewe umetumbuliwa kitundupi!? Au umetovugwa!?? ..hata mamayo ni malaya Kwa mumewe.. dadayo ni malaya Kwa mumewe ... Ondoka hapo sebuleni..daako nikimuacha hauna pa kuishi... Anza mapema kutafuta pakuishi.
 
9mm ina kamlio safi sana!!
 
OG never lie
 
Ukila mke wa mtu basi kuwa na nidhamu usijione wewe ndio bingwa sana kwa kulala na mwanamke wa mwanaume mwenzako.

Hapo ukute dogo walishamuonya lakini akajiona kijogoo sasa kimemramba.
 
Ukifikiria kwa makini unabaki kujiuliza wahenga walikuwa ni watu wa namna gani mpaka kujua mke wa mtu ni SUMU, ni nadra sana kwa mwanaume akusamehe akikukuta na mke wake ni mia kwa kumi, wanaume hata uwe unatembeza fimbo namna gani epuka mke wa mtu, tembea na mke wa mtu at your risk.
 
Kwani wewe umetumbuliwa kitundupi!? Au umetovugwa!?? ..hata mamayo ni malaya Kwa mumewe.. dadayo ni malaya Kwa mumewe ... Ondoka hapo sebuleni..daako nikimuacha hauna pa kuishi... Anza mapema kutafuta pakuishi.
Wewe mama na dada zako mmtakuwa mmezidi kwa umalaya hadi mnaibiana mabwana
 
Hiyo silaha ni glock 17 gun Germany 9mm 17round jamaa kapiga kwa hasira dah.!
 
mimba imeshaingia umevunja ndoa ya watu huwezi kubaki salama
 
 

Attachments

  • Screenshot_20240818-104124.jpg
    180.2 KB · Views: 2
Wewe mama na dada zako mmtakuwa mmezidi kwa umalaya hadi mnaibiana mabwana
Hauna akili ndio maana mpaka leo haujapata like Wala chochote kwenye comment yako...fwala wewe ...ndio mnaokimbia watoto na kuvaaa yebo nene kama maboya na mitego ya samaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…