EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Akiweka nitag pls.Weka picha.
Nitakutag.Akiweka nitag pls.
Chizi kweli wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kapita hapa sasa hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila huyu kavaa vile vi jeans vya kubanaaa,wimbo kaweka naheshimu madanga ya mke wangu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 1850572
Usimkaribishe kwako View attachment 1850573
Narudia tena, usimkaribishe kwako
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Hivi mkuu unawajua lakini?? sema picha yao nimeokosaHuo ni ubaguzi mnafanya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaacha kitu kimoja kimoja kwako hadi anakua mkeView attachment 1850572
Usimkaribishe kwako View attachment 1850573
Narudia tena, usimkaribishe kwako
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Mabaharia mnajuana kwenye anga zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaacha kitu kimoja kimoja kwako hadi anakua mke
Akifanya yote hayo uliyosema na kusikiliza Bongo fleva anakuwaje?Ukimuona bodaboda amening'iniza kamguu pembeni na visendo Halafu amekalia tako moja usipande!!
Halafu anakuwa amevaa kipensi cha jeans , tunywele amesuka rasta huku bodaboda inapiga mziki wa nyimbo za singeli mixer [emoji38][emoji28]... Hawahofii chochote na hawana chakupoteza katika maisha yao. [emoji3526]
Mkuu hata sikilize gospo wanaoning'iza sendo wamekanyagia kisigino na kukaa upandeupande washajichokea, tena utawakuna wanalaza boxer barabarani wakati wanapenya katikati ya magari yenye mwendoAkifanya yote hayo uliyosema na kusikiliza Bongo fleva anakuwaje?
Sawa tutazingatia hayo.Mkuu hata sikilize gospo wanaoning'iza sendo wamekanyagia kisigino na kukaa upandeupande washajichokea, tena utawakuna wanalaza boxer barabarani wakati wanapenya katikati ya magari yenye mwendo