Herymiller
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 613
- 860
Wasifu
Mimi nikijana wa miaka 25-30 (Dume/rijali)
Mkazi wa Dar es salaam
Elimu ni shahada ya usimamizi wa fedha na biashara
Natafuta mwenza wa kujifunza nae mambo mbali mbali ya mahusiano kama kukabiliana na wivu katika mapenzi.
Kujua uchungu wa ukisalitiwa au ukiwa na mpango wa pembeni uchungu wake unakuwaje.
Nataka tujifunze kwa vitendo yaani kuanzia kula good time hadi hardtime niko very open minded, so kama unaona uko interested ku explore new advenchelelo unakaribishwa PM
Hii ni trial and error nimegundua watu hawapati nafasi ya kujifunza ndio maana mahusiano yanawashinda kwa sababu waliingia kwenye mahusiano serious bila kupita tuisheni
Niko open kwa mawazo
Any Ideaz
Mimi nikijana wa miaka 25-30 (Dume/rijali)
Mkazi wa Dar es salaam
Elimu ni shahada ya usimamizi wa fedha na biashara
Natafuta mwenza wa kujifunza nae mambo mbali mbali ya mahusiano kama kukabiliana na wivu katika mapenzi.
Kujua uchungu wa ukisalitiwa au ukiwa na mpango wa pembeni uchungu wake unakuwaje.
Nataka tujifunze kwa vitendo yaani kuanzia kula good time hadi hardtime niko very open minded, so kama unaona uko interested ku explore new advenchelelo unakaribishwa PM
Hii ni trial and error nimegundua watu hawapati nafasi ya kujifunza ndio maana mahusiano yanawashinda kwa sababu waliingia kwenye mahusiano serious bila kupita tuisheni
Niko open kwa mawazo
Any Ideaz