NASA Kumwapisha Odinga Kama rais wa Kenya

Alafu utashanga eti bado kuna Wakenya wanadhani anafanya hayo kwa manufaa ya Wakenya, wakati ni anawavurugia nchi tu kwa mslahi yake.
 
Huyu atakuja kujiletea matatizo. Yaan rais wako anaapishwa na wewe unaapishwa na watu wako. Naona mwisho wake kisiasa umekaribia. Yetu macho.

Anakuwa kam General Riek Machar wa South Sudan aliyekimbilia South Africa baada ya mataifa ya dunia kumtambua General Rais Salva Kiir. Funny enough wote ni kabila moja yaani Dinka, Nuer, Acholi na Kenya Luos wote ni Dhluo! na usisahau Joseph Konny ni kundi hilo hilo ambalo Raila anataka kumuiga kwa kuunda NRM na kutotaka kutambua serikali ambayo imehakikiwa na Chief Justice yule yule aliyetengua ushindi wa Uhuru 1/09/2017 na kusifiwa saaaaaaaaaana na Hon Raila, Justice Maraga David![emoji51][emoji51][emoji51] vipi sasa agune!!!!wakati yeye mwenyewe(Raila) aliogopa sanduku la kura na kujiondoa (na kuacha mechi ikiendelea na washindani 7 na dunia imeona) baada ya kujua kuwa kamwe kwenye sanduku hawezi pata kura za kutosha.
 
Raila Odinga ameshakosa uraisi wa Kenya maishani km Baba yake. Akubali tu matokeo. Vurugu zitamweka pabaya zaidi. Dunia nzima hana support zaidi ya Magufuli !
 

Kwanza aapishwe kwa uchaguzi upi alioshiriki? Si alikimbia uchaguzi wa marudio huyu? Aende zake kisumu akanywe gongo!
 
Uhuru Na Kenyata wakae Chini maana hakuna namna nyingine atakayofanya Uhuru hawezi mshitaki wala kumtiani hatiana sababu anasaportas wengi sana
 
Aiseee jioni hii mzee odinga anajiandaa kuapishwa hiyo kesho!
Ila kenyatta hajaachwa nyuma leo anajirusha na totoz jijini![emoji3] [emoji109] [emoji191]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…