NASA wanamatatizo gani jamani?au wameshashindwa kabla

NASA wanamatatizo gani jamani?au wameshashindwa kabla

naisha nasri

Member
Joined
Apr 25, 2016
Posts
67
Reaction score
64
Siwaelewi NASA na kiongozi wao jamani,walipettion ushindi wa Rais na supreme court ikawasikiliza nakushinda,baadaye wakapinga tarehe 17october yamarudio iliyopangwa awali na IEBC,tarehe imebadilishwa mpaka tarehe 26 october,tena wamekuja na issue nyingine hawamtaki COO wa IEBC,
Nadhani kuna kitu wanakitafuta hawa jamaa,mwenye uelewa please!
 
Siwaelewi NASA na kiongozi wao jamani,walipettion ushindi wa Rais na supreme court ikawasikiliza nakushinda,baadaye wakapinga tarehe 17october yamarudio iliyopangwa awali na IEBC,tarehe imebadilishwa mpaka tarehe 26 october,tena wamekuja na issue nyingine hawamtaki COO wa IEBC,
Nadhani kuna kitu wanakitafuta hawa jamaa,mwenye uelewa please!

Wanajua hawawezi kushinda kwani hata sasa hivi wangekubali masanduku ya kura yafunguliwe zihesabiwe kwa mkono Uhuru ameshinda ila tu majaji walisema (transmission)kurushwa kwa kura kwenda Nairobi walishindwa!!! yaani kura ni sahihi ila kosa ni urushaji!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]majaji wana akili timamu kweli? Marekani wakati wa Bush na AlGore baada ya mahakama majaji walikubali kura za jimbo la Florida kuhesabiwa kwa mkono badala ya mitambo sembuse Kenya!!!!!majaji wamepoteza Kshs billion 10 for nothing kwa kurudia badala ya re counting manually, that is the third world intellectuals.
 
Wanajua hawawezi kushinda kwani hata sasa hivi wangekubali masanduku ya kura yafunguliwe zihesabiwe kwa mkono Uhuru ameshinda ila tu majaji walisema (transmission)kurushwa kwa kura kwenda Nairobi walishindwa!!! yaani kura ni sahihi ila kosa ni urushaji!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]majaji wana akili timamu kweli? Marekani wakati wa Bush na AlGore baada ya mahakama majaji walikubali kura za jimbo la Florida kuhesabiwa kwa mkono badala ya mitambo sembuse Kenya!!!!!majaji wamepoteza Kshs billion 10 for nothing kwa kurudia badala ya re counting manually, that is the third world intellectuals.
Sheria waliyojiwekea inasemaje kuhusu transmission of results from polling station, .... to NAIROBI?
 
Sheria waliyojiwekea inasemaje kuhusu transmission?

Sheria ya mahakama kuu inasema kura za county au za kituo cha kupigia kura ni final na hata kama ikiwa transmitted kwenda makao makuu Nairobi is only for formality no amendment is allowed, ndiyo maana wengitumia busara kurudia kuhesabu kura kule vituoni yaani kufungua masanduku ya kura!!!
 
Sheria ya mahakama kuu inasema kura za county au za kituo cha kupigia kura ni final na hata kama ikiwa transmitted kwenda makao makuu Nairobi is only for formality no amendment is allowed, ndiyo maana wengitumia busara kurudia kuhesabu kura kule vituoni yaani kufungua masanduku ya kura!!!
Si kweli, finality hujaielewa inayoongelewa na interpretation yake. soma hukumu ya majority! ipo humu. au soma hata zile dissenting judgements.... kila kitu kimefafanuliwa vizuri
 
Siwaelewi NASA na kiongozi wao jamani,walipettion ushindi wa Rais na supreme court ikawasikiliza nakushinda,baadaye wakapinga tarehe 17october yamarudio iliyopangwa awali na IEBC,tarehe imebadilishwa mpaka tarehe 26 october,tena wamekuja na issue nyingine hawamtaki COO wa IEBC,
Nadhani kuna kitu wanakitafuta hawa jamaa,mwenye uelewa please!
Wewe tu ndio uko nyuma huelewi tatizo la top layers ya IEBC. Utawakubalije marefarii ambao wewe umeona ndio wamekuibia ushindi?
 
Wanajua hawawezi kushinda kwani hata sasa hivi wangekubali masanduku ya kura yafunguliwe zihesabiwe kwa mkono Uhuru ameshinda ila tu majaji walisema (transmission)kurushwa kwa kura kwenda Nairobi walishindwa!!! yaani kura ni sahihi ila kosa ni urushaji!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]majaji wana akili timamu kweli? Marekani wakati wa Bush na AlGore baada ya mahakama majaji walikubali kura za jimbo la Florida kuhesabiwa kwa mkono badala ya mitambo sembuse Kenya!!!!!majaji wamepoteza Kshs billion 10 for nothing kwa kurudia badala ya re counting manually, that is the third world intellectuals.
Good argument, na Mimi nimekuwa nikishangazwa sana na judgement yao.
 
Siwaelewi NASA na kiongozi wao jamani,walipettion ushindi wa Rais na supreme court ikawasikiliza nakushinda,baadaye wakapinga tarehe 17october yamarudio iliyopangwa awali na IEBC,tarehe imebadilishwa mpaka tarehe 26 october,tena wamekuja na issue nyingine hawamtaki COO wa IEBC,
Nadhani kuna kitu wanakitafuta hawa jamaa,mwenye uelewa please!


Fvck Kenya!
 
wasiwasi ndio akili,itakuwaje IEBC iwe na watu walewale waliosababisha madudu mwanzo utegemee watakuwa shihi mara ya pili
 
Siwaelewi NASA na kiongozi wao jamani,walipettion ushindi wa Rais na supreme court ikawasikiliza nakushinda,baadaye wakapinga tarehe 17october yamarudio iliyopangwa awali na IEBC,tarehe imebadilishwa mpaka tarehe 26 october,tena wamekuja na issue nyingine hawamtaki COO wa IEBC,
Nadhani kuna kitu wanakitafuta hawa jamaa,mwenye uelewa please!
We vuta subra, Raila achukue dola.[emoji119][emoji123]
4c5ea23bfe3cc051d10886198251d6ae.jpg
 
Raila is a warlord.
Ataacha siasa za vita atakapo pumzishwa na kifo.

Ameweka demands impossible ili akuwe na excuse ya kususia uchaguzi, kwa sababu anajua atashindwa na kura mingi kuliko ata August 8.
Mfano anasema Safra Morpho isihusike na uchaguzi, ilhali hatoi sababu ambazo ni convincing. Hii ndio kampuni yenye biometric kits na system yote ya transmission.
Kupata kampuni ingine replacement, itakayo unda system mpya, software mpya nk. itachukua zaidi ya mwaka mmoja.

Raila hataki uchaguzi, ili baada ya 60 days kuwe na confusion ambapo anadhani atapata nusu mkate.
 
Si kweli, finality hujaielewa inayoongelewa na interpretation yake. soma hukumu ya majority! ipo humu. au soma hata zile dissenting judgements.... kila kitu kimefafanuliwa vizuri

Wewe ndiye ambaye hujaelewa, kabla ya kura kupigwa mahakama kuu after opposition party sort for clarification ilikubaliwa kuwa kura kule vituoni yaani center 290 nchi nzima ni final kwa wabunge, Mca Seneta na za urais ila hizo zingine zote zitangazwe huko huko ila za Urais zitumwe Boma Nairobi na ni mwenyekiti wa tume tu anaruhusiwa kitangaza za Urais! Go through again carefully you will understand! Mimi nimeandika cha kweli na I will always say the truth. Majaji ilikuwa waokoe billion 10 ila yote hayo ni Mungu alipanga ili dunia ijue kuwa Uhuru ndiye mshindi kwani marudio yatafanya kura za Raila kupungua labda mpaka million tatu au nne kwani wengi wame defect kutoka NASA kwenda Jubilee na hakuna hata mmoja ambaye has defected from Jubilee to NASA, yetu macho!
 
nazani wameambukizwa hako kaugonjwa toka kwa vyama vya upinzani Tz
 
Kwa mfano Kuna dereva anaendesha basi ovyo. Basi limeanguka......Kuna vifo na majeruhi I'll dereva na konda wako poa......hamna majeraha. Halafu ambulance linatokea kubeba majeruhi na wewe ni mmojawapo, je, utamwamini dereva aliyeangusha basi kukusafirisha kwenye ambulance??????
 
wanataka nusu mkate....Raila yupo vizuri kuanzisha vurugu kuliko kutafuta kura...ameshazoea short cut huyu akishdwa...safari hii sioni akipata hata nusu keki
 
Back
Top Bottom