Wajinga na wanafik wa NASA waache ujinga huu. Uchumi imeporomoka 1% na pesa meli mzima zimetumika kwa uchaguzi,wawekezaji wametoweka na biashara imepungua.
Nonsense tumechoka na uchaguzi usiyo na mwisho watu warudi kazi .Kenya doesn't revolve around Odinga and his selfish quest for office.