Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wanataka anayeshirikiana na NASA na Jubilee watataka anayeshirikiana na Jubilee. Uchaguzi utafanyika?Kwanini wapinzani Wakiona hawawezi hutafuta njia za kufanya fujo?
Ndio maana nasema katiba yao ni mbovu kwa kuruhusu matokeo ya urais kuhojwa mahakamani vinginevyo yalishaisha siikuuu nyingiKwa h
Kwa hiyo wanataka anayeshirikiana na NASA na Jubilee watataka anayeshirikiana na Jubilee. Uchaguzi utafanyika?
Jubilee wanamtuhumu Jaji Maraga. Hakuna aliyemtakatifu Kenya, kila MTU amepungukiwa na utukufu.
Lakini wakenya ni hawa hawa wenye kasoro, tutampata wapi asiye na kasoro?