Kwa h
Kwa hiyo wanataka anayeshirikiana na NASA na Jubilee watataka anayeshirikiana na Jubilee. Uchaguzi utafanyika?
Jubilee wanamtuhumu Jaji Maraga. Hakuna aliyemtakatifu Kenya, kila MTU amepungukiwa na utukufu.
Lakini wakenya ni hawa hawa wenye kasoro, tutampata wapi asiye na kasoro?