Nasafiri kwa basi kutoka Dar kwenda mkoani Mwanza, nimepangwa siti moja na mtoto mmoja mkali sana!

yaani huwazii ata ajali za barabaran we unawaza ngono tu
 
Usisahau kutuwekea kapicha kesho kabla basi halijaondoka tuone huo ukali wake
 
Sijaelewa, ni kwamba tayari upo safarini na huyo manzi au unatarajia kusafiri naye siku ya kesho yaani umekutana naye kwenye kukata tiketi? hebu jibu kwanza hayo halafu nitakushauri kitu kizuri
 
Hivi dar kwenda Mwanza cku hizi kumbe mnalala njiani???
 
Una umri gani mkuu? Maana kuna ushauri kwa watu wazima na ushauri kwa watoto..

Vale.
 
Sijaelewa, ni kwamba tayari upo safarini na huyo manzi au unatarajia kusafiri naye siku ya kesho yaani umekutana naye kwenye kukata tiketi? hebu jibu kwanza hayo halafu nitakushauri kitu kizuri
anategemea kusafiri naye kesho sasa ukute anamkatia bibi yake ha haha
 
Ati niko dirishani hivyo nitampisha akae dirishani ili maneno yatoke vizuri. Sawa mkuu nimekuelewa. Anza hivi; Mkiisha fika Chalize, muombe kuwa mkifika Ubungo maji akuoneshe chuo cha maji. Anzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…