kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Mkuu, huyu kasema ye domo zege, hajui aanzeje kutongoza...Kwa nini usisafiri na mpenzio, unafikiri yeye yuko single au, nyie ndo mnawapiga vita wanawake wanaochepuka lakini nyie ndo watongozaji wakuu. Acheni unafiki
Ha ha hayaHapo siji hata kwa buduki[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
HahaaaBaada ya salam mwambie kumbe wewe ni mshenzi sana!!!
AaadrsdsrsssreaQZE3Umemkomoa harudii tena
HakikaNdiomaana mvua hainyeshi aiseeeee....
Na kweli wazinzi wenzake wamsaidieMkuu, huyu kasema ye domo zege, hajui aanzeje kutongoza...
Ndo kaja huku kuomba msaada wazinzi wenzie wamsaidie!!!
Nakunywa mpaka najikojolea[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Wanaume bhn... Ndio maana mkiishia kuumizwa me hua naagiza wine tu.
Baba zima hujielewi, utabaki hivoivo[emoji57]Habari za Leo wanajamii forums, moja kwa moja kwenye hoja, ni hivi Mimi natoka dar kwenda mwanza kesho kwa usafiri wa basi, sasa hapa nimekata tiketi siti moja na manzi mmoja mzuri sana sema Mimi nipo upande wa dirishani, sasa sitaki nikae kimya nataka kidogo nimrushie neno au vijimaneno vya hapa na pale, sasa mazee hasa kwa wenye uzoefu nianze na neno gani baada ya salamu ili nisimkere mapema? Ili angalau tukifika mahala pa basi kulala awe ameshanielewa, Mimi nimepanga yeye nimpe akae upande wa dirishani ili maongezi yaende vizuri, karibuni mtiririke, mstukane lakini,