Nasafiri kwa basi kutoka Dar kwenda mkoani Mwanza, nimepangwa siti moja na mtoto mmoja mkali sana!

Basi likifika pa kulala awe ameshakuelewa!! Kuna msichana wa aina hiyo kweli!! Usijaribu hataa kumtongoza kwani unapomtongoza mtu uliemwona hapohapo ni picha mbaya kichwani kwake ndo kwanza atakupotezea maana atakuwa anajua ya kichwani kwako.
 
Basi likifika pa kulala awe ameshakuelewa!! Kuna msichana wa aina hiyo kweli!! Usijaribu hataa kumtongoza kwani unapomtongoza mtu uliemwona hapohapo ni picha mbaya kichwani kwake ndo kwanza atakupotezea maana atakuwa anajua ya kichwani kwako.
Kweli kabisa nana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…