Nasaka members kwa ajili ya discusion group ya LLB

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
2,696
Reaction score
740
Mie nimechaguliwa OUT kwa ajili ya degree LLB academic year 2010/11. Ninaishi Dar na ninafanya kazi. Ninaomba kupitia hii forum kama kuna mwanaJF anayesoma LLB mwaka wa kwanza, chuo chochote, na anaishi Dar, basi tuunde discussion group. Simu yangu ni 0754 275 305 na 0784 953 558. email arweikiza-dar@tcrs.or.tz
 
Tunapenda watu kama nyie! Kila la kheri katika mchakato mzima wa masomo hapo OUT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…