Nasaka mume

Hujatuambia cc ngapi bana mashine zinatofautiana manake chesesi yako nayo lazima tuijue vile vile ili mashime iweze kufiti vizuri.Unaweza ukachukua ya scania kumbe fuso tu inakutosha.Kama unajiweza nitafuta ijumaa jioni tuweze kucheki chesesi yako.Mimi ninayo ya scania ikishindikana nitakupa ya jamaa yangu anayo ya fuso.Ni hayo tu nategemea utatoa ushirikiano
 
nimeiyona mtoto wakike unamaneno matamu na Mvua hii,Mmmmmm....uko wapi niku2mie Private Jet Mrembo?

Kwastaili hiyo pm yakwanza anatoa shida zake ndugu yangu utauza mpaka viatu uende kwenu na malapa.dah hiyo kali kwamtindo huo natangangaza staki mchumba wala mpenzi.
 
hii ni kitu ya wakubwa zako dogo tulia . hivi kwenu hakuna wazeee ?
muache kijana wangu .wewe kanunue hisa twiga cement na hela zako tuone kaa utakumbatia cement
 
achana nae huyo naona pm zinaleta shida sop iyo hela si unatuma kwa mpesa au aertel money switi dear?



ndio umenichinjia baharini sio ? sikubali mpnz ni pm namba yako ya voda niijaze mpesa sasa hivi , watu wengine hatutaki maneno mengi .
 
Kwastaili hiyo pm yakwanza anatoa shida zake ndugu yangu utauza mpaka viatu uende kwenu na malapa.dah hiyo kali kwamtindo huo natangangaza staki mchumba wala mpenzi.
wivu tu,unakusumbua unalolote
 
ndio umenichinjia baharini sio ? Sikubali mpnz ni pm namba yako ya voda niijaze mpesa sasa hivi , watu wengine hatutaki maneno mengi .
hayo ndo maneno .sh ngapi unatuma ili nilinganishe na mwenzio nifikie muafaka
 
mmmmh....... Unanitega eeeh


sikutegi na vihela uchwara kama hizo njoo ule mema ya nchi kwa dady achana na watoto . utakuja kushtakiwa kwa kurubuni watoto. pm namba fasta basi.
 
wewe hufai mwanaume mzima unatumia mtandao wa tigo sikutaki tena
ishiiii wewe vipi?kwa mtandao ndo unaotoa pesa basi ngoja nifanye mambo mengine,utaki bahati wewe nimekuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…