usifikiri na kujadiri hoja kwa kutiumia downstairs, unapaswa kujua limit za amri za pm, su hufanya maamuzi yao wenyewe. Pm alizungumzia magari yanayonunuliwa na gvt. Sitakushangaa kesho ukiona hammer ya kinje ukaimulika kisha ukatuletea janvini ati tumjadiri mtoto wa mkulima kwa vile nchini kuna magari ya kifahari. Try to be a great thinker.