Nash mc afanikiwa kufanya ziara Ujerumani, Hip Hop Inalipa!!!!!

Uyu jamaa yuko social sana nliwahi kutana nae Arusha nyama choma festival kwa ufupi hana makuu wala si mwongea ovyo.
 
Jamaa namfahamu fika na kazi zake hadi anapo ishi kwa shangazi yake huko temeke Mbagala, juzi kati alikuwa Uganda kwenye mkutano wa nini alikutana na wasanii wa kenya, uganda na rwanda
Anaishi kwa shangazi yake????
 
Tatizo la Nash mc anajifanyaga anajua sana hip hope kumbe mziki ushamshinda maana kila siku anakaaga kulalamika...kuwa apewi air time radion ndo wakati yeye atoi ngoma.

Then Wewe mtoa mada kuhusu Nash Mc kwenda ujerumani ..anaendaga sana maana Nash mc yuko kweny NGO flani yakukuza kiswahili kwa nchi za kigeni inaitwa Vinasa Sauti...nadhani anaweza kwenda German hata Mara 6 kwa mwaka
 
Hahaa!!!! Tatizo lake ujuaji mwingi mbaya zaid hajui chochote kuhusu Hip Hop ila ndo anajifanya yeye ndiye mwalimu wa Hip Hop
 
Duu!!!! Tattoo records kitambo Sana, hivi palla bado yupo????? Na yule Dogo Abby yupo?? Sijaibukaga Tattoo tangu 2012 sijui
daahh hata sijui mkuu"" hao watu nilishapotezana nao"" aiiseee
 
Nash mc, anasema yeye ni MC pekee mwenye VVU.
naaam ana ngoma inaitwa hivyo pia....then ana ngoma ambayo amechana then kwenye verse anasema kuwa yeye ndiye mc pekee kutuka THT
(Tanzania hiphop tunauza..)
 
Jamaa namfahamu fika na kazi zake hadi anapo ishi kwa shangazi yake huko temeke Mbagala, juzi kati alikuwa Uganda kwenye mkutano wa nini alikutana na wasanii wa kenya, uganda na rwanda
Anakaa chamazi siku hzi.
 
naaam ana ngoma inaitwa hivyo pia....then ana ngoma ambayo amechana then kwenye verse anasema kuwa yeye ndiye mc pekee kutuka THT
(Tanzania hiphop tunauza..)
Hahahaaaaa, huyu jama noma sana, eti Tanzania Hiphop Tunauz (THT), hahahaaa.
 
Hahahaaaaa, huyu jama noma sana, eti Tanzania Hiphop Tunauz (THT), hahahaaa.
hahaaa"" kwahiyo mwanzo ulidhani "" nimezusha"" bahati nzuri wakati anaingiza vocal "" ktik hixo ngoma zote nilikuwapo"" in short mpka wakati anaandaa album ya mzimu wa shaban Robert nilikuwepo pia""
 
hahaaa"" kwahiyo mwanzo ulidhani "" nimezusha"" bahati nzuri wakati anaingiza vocal "" ktik hixo ngoma zote nilikuwapo"" in short mpka wakati anaandaa album ya mzimu wa shaban Robert nilikuwepo pia""
Inaonekana wewe ni mtu wake wa karibu, hongera mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…