Nash mc afanikiwa kufanya ziara Ujerumani, Hip Hop Inalipa!!!!!

aaaghh hongera ya nini sasa"" mbona hao niwatu wa kawaida tu "" na maisha yao ya kawaida "" sipo nae karibu kihivyo"" but miaka ya nyuma ndio tulikuwaga tunakutana Mara kwa Mara studio za tattoo ""
wewe ni mwanamuziki kumbe teh

Kama sio madee we nay wa mitego

Jokes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…