Nashangaa wanasiasa na mijitu inayong'ang'ania ser 2 huku wananchi hawataki

Nashangaa wanasiasa na mijitu inayong'ang'ania ser 2 huku wananchi hawataki

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
inaelekea wanasiasa kuna vitu vingi wanafaidi kwenye Huu muungano wa kishenzi ndo mana wanaung'ang'ania hotuba ya jaji warioba ndiyo hayo wananchi wanayotaka ole wao watakaolazimisha serikali 2 kwa maslah ya chama chao
 
Kuna watu wako kama misukule wanapelekwapelekwa hawajui hata wanachokitetea!!! Wanatumika na watu wachache sana ambao kwa uhalisia wamekuwa wananufaika wao na watoto wao kuendelea kufisidi nchi hii.... Sasa wanaona kabisa serikali 3 ndiyo utakuwa mwisho wao kutunyonya,,,

hakuna muungano wa nchi mbili serikali mbili utakaobaki salama... Ama serikali moja au tatu!,,,
 
Back
Top Bottom