ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Diamond amechukua vionjo vya ngoma ya Akili ze Brain inayoitwa Regina, akaenda kuomba kushirikiana na nyota mkubwa India mwenye mashabiki mabilioni na sasa kwa kutumia ubunifu wa Akili ze Brain na ustaa Jugni huko kwenye digital platform pesa zinaingia kila sekunde na ni nyingi zaidi ya matundu ya neti.
Ushauri wangu kwa Akili ze Brain, usije kuwa umeingia mtego ambao WCB na Diamond wanafanya kwa wasanii wanaotumia vionjo vyao kama Saida Caroli itakula kwako. Wanachofanya, anakuambia tu juu juu kuwa nakupa tuseme mil. 10 au 15 nataka kutumia vionjo vyako, hakwambii kuwa ataenda kushirikisha msanii mkubwa na nyimbo itakuwa inauza mpaka unakufa unajikuta umeingia KANYABOYA.
Sasa wewe mwambia akupe asilimia fulani ya kila mauzo yanapofanyika, huu ndiyo wakati wako kutajirika.
Ushauri wangu kwa Akili ze Brain, usije kuwa umeingia mtego ambao WCB na Diamond wanafanya kwa wasanii wanaotumia vionjo vyao kama Saida Caroli itakula kwako. Wanachofanya, anakuambia tu juu juu kuwa nakupa tuseme mil. 10 au 15 nataka kutumia vionjo vyako, hakwambii kuwa ataenda kushirikisha msanii mkubwa na nyimbo itakuwa inauza mpaka unakufa unajikuta umeingia KANYABOYA.
Sasa wewe mwambia akupe asilimia fulani ya kila mauzo yanapofanyika, huu ndiyo wakati wako kutajirika.