Nashauri baada ya kesi wale makomandoo wafungue kesi dhidi ya Luten Urio

Nashauri baada ya kesi wale makomandoo wafungue kesi dhidi ya Luten Urio

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Mie sio mwanasheria Ila iko wazi Luten Urio ni mtu mwenye roho ngumu na ovu sana. Hajawatendea haki wanafunzi wake wa zamani jeshini. Amewatoa hawa watu kwenye shighuli zao binafsi za kujitafutia baada ya kuondolewa jeshini,

Kawadanganya eti kuna kazi ya ulinzi kwa Mbowe kwa maneno yake mwenyewe hapo mahakamani, wakawazungukia kwa nyuma kupitia polisi kuwakamata na kuwabambikia kesi ya ugaidi.

Ndugu Urio kwanini uwaachishe watu kwenye shughuli zao za kujipatia kipato, uwadanganye kuna kazi ambayo haipo halafu mpange na askari polisi kuwakamata?

Nadhani hapo kuna jinai, Afande Urio afukuzwe kazi Jeshini ashitakiwe kwa kosa la udanganyifu na kuleta taharuki nchini.
 
Na Kuna uwezekano hao makomando ni usalama pia naona wamegutuka dili imekaa vibaya maana wameicheza kitoto kwamba jamaa wajifanye wamefukuzwa.

Mbona Jeshi halijawahi kutoa statement kuhusu ukomando wa hao jamaa na kufukuzwa kwao ??

Huyu Urio anawasiliana vipi na DCI bila kuwasiliana na CO wa kikosi chake??? Na Kama aliwasiliana na hao ningekuwa wakili ningeomba additional witness waited Co wake na MI (Military Intelligence) waliohusika tuwahoji na Nia ni kuangalia conspiracy theories.
 
Kama ni MAKOMANDOO kweli wataishi nae tu hata usijali MKUU ni swala la mda tu
 
Baada ya kesi wataifungua wakiwa na wao ni wafungwa au huoni dalili ya moto ni moshi
 
Na Kuna uwezekano hao makomando ni usalama pia naona wamegutuka dili imekaa vibaya maana wameicheza kitoto kwamba jamaa wajifanye wamefukuzwa.

Mbona Jeshi halijawahi kutoa statement kuhusu ukomando wa hao jamaa na kufukuzwa kwao ??

Huyu Urio anawasiliana vipi na DCI bila kuwasiliana na CO wa kikosi chake??? Na Kama aliwasiliana na hao ningekuwa wakili ningeomba additional witness waited Co wake na MI (Military Intelligence) waliohusika tuwahoji na Nia ni kuangalia conspiracy theories.
Makomando wengi sana wamefukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali ikiwa utovu wa nidhamu ni lini uliona Kuna taarifa inatolewa kuhusu kufukuzwa kwao kazi?
 
Na Kuna uwezekano hao makomando ni usalama pia naona wamegutuka dili imekaa vibaya maana wameicheza kitoto kwamba jamaa wajifanye wamefukuzwa.

Mbona Jeshi halijawahi kutoa statement kuhusu ukomando wa hao jamaa na kufukuzwa kwao ??

Huyu Urio anawasiliana vipi na DCI bila kuwasiliana na CO wa kikosi chake??? Na Kama aliwasiliana na hao ningekuwa wakili ningeomba additional witness waited Co wake na MI (Military Intelligence) waliohusika tuwahoji na Nia ni kuangalia conspiracy theories.
Hebu tuwekee hapa taarifa yoyote Ile uliyowahi kuiona kwny media ikitolewa na JW ikisema komando flani amefukuzwa kazi.
 
Makomando wengi sana wamefukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali ikiwa utovu wa nidhamu ni lini uliona Kuna taarifa inatolewa kuhusu kufukuzwa kwao kazi?
Una tatizo gani kijana..kama huna pesa ya kula omba msaada usaidiwe...private akifukuzwa kazi huwa anafuatiliwa kokote pale atakapokuwa ije iwe komandoo..
 
Mungu anisamehe na Kila Mtu ana mtazamo wake! Mimi tangu mwanzo sijawahi kuwaamini hao Makomandoo walioshitakiwa pamoja na Mbowe! Ni na Kila sababu ya kuhisi kuwa hao Makomandoo wana connection na Jamhuri katika kesi ili kufanikisha azima ya kumtia hatiani Mbowe.
Jeshi liko upande wa Serikali.
Anyway kwa sababu sina uelewa na maswala ya Sheria huenda nahisi vibaya.
 
Makomando wengi sana wamefukuzwa kazi kwa makosa mbalimbali ikiwa utovu wa nidhamu ni lini uliona Kuna taarifa inatolewa kuhusu kufukuzwa kwao kazi?
Ndio maana najiuliza huyu Urio aliwezaje kuwasiliana na DCI moja kwa moja wakati hizi taarifa huwa zinakuwa shared kwa CO wake then MI ndio wanazifanyia kazi wakiona zina haha ya kuwa shared na DCI watamshirikisha ?

Sasa kama pia ilifanyika hivyo basi natarajia kuona hiyo taarifa ya jeshi kwamba kweli hao walikuwa watumishi wake na katika kada hiyo na walifukuzwa na taarifa nyingine kadhaa na mashahidi Kama CO na MI.

Otherwise no kesi ya mchongo mwanangu.luteni ni ofisa wa kawaida sana Tena sana hawezi kwenda kwa DCI hivihivi hata Luteni Jenerali mwenyewe hawezi kuwasiliana na DCI bila ya kujadili na General kwanza as his immediate boss na ndipo anaporipoti.
 
Na Kuna uwezekano hao makomando ni usalama pia naona wamegutuka dili imekaa vibaya maana wameicheza kitoto kwamba jamaa wajifanye wamefukuzwa.

Mbona Jeshi halijawahi kutoa statement kuhusu ukomando wa hao jamaa na kufukuzwa kwao ??

Huyu Urio anawasiliana vipi na DCI bila kuwasiliana na CO wa kikosi chake??? Na Kama aliwasiliana na hao ningekuwa wakili ningeomba additional witness waited Co wake na MI (Military Intelligence) waliohusika tuwahoji na Nia ni kuangalia conspiracy theories.

Jeshi linawaje kutoa taarifa kwa mtu aliyefukuzwa, wewe umejuaje kama wamefukuzwa?..

Jeshi lingeweza tu kutoa taarifa kama wahusika wangetumika mahala kama JWTZ, kwenye hiyo mission yao wamekwenda kama Ex komando waliofukuzwa... sio wafanyakazi wa JWTZ..wangejitambulisha kama wafanyakazi basi hapo JWTZ wangekuja na taarifa ya kuwakana..
 
Ni vyema tu tukafuatilia muenendo wa kesi na kuona mwisho wake, "time is the best doctor"

Tukiishi na majibu yetu basi kuna hatari yakumchukia na kumuona kila mtu mbaya..
 
Kwahyo mkuu unataka kusema na hao makomandoo watakuja kumgeuka mboye kua kweli alkua anapanga nao njama za ugaidi?
Na Kuna uwezekano hao makomando ni usalama pia naona wamegutuka dili imekaa vibaya maana wameicheza kitoto kwamba jamaa wajifanye wamefukuzwa.

Mbona Jeshi halijawahi kutoa statement kuhusu ukomando wa hao jamaa na kufukuzwa kwao ??

Huyu Urio anawasiliana vipi na DCI bila kuwasiliana na CO wa kikosi chake??? Na Kama aliwasiliana na hao ningekuwa wakili ningeomba additional witness waited Co wake na MI (Military Intelligence) waliohusika tuwahoji na Nia ni kuangalia conspiracy theories.
 
Ushahidi wa kuanzia simu na huyu wa urio wamethibitisha pasipo shaka hakuna ugaidi wowote uliofanyika
 
Kwahyo mkuu unataka kusema na hao makomandoo watakuja kumgeuka mboye kua kweli alkua anapanga nao njama za ugaidi?
By any means necessary hawataweza hata kama ilikuwa planned iwe hivyo sababu ushahidi mpaka sasa haureflect moja kwa moja kwamba mbowe alilipa hizo pesa kwa ajili ya ugaidi Bali alilipa Kama nauli za hao makomando waje kumlinda Kama ambavyo Urio alisema.mwenyewe kwamba mbowe alimuomba askari waliostaafu ambao Urio anawajua wake wamlinde.
 
Denis Urio anatokea wapi kuja Mahakamani?
 
Back
Top Bottom