Nashauri iPhone waiboreshe app battery health au waitoe kabisa

Nashauri iPhone waiboreshe app battery health au waitoe kabisa

uzio usio onekana

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2019
Posts
836
Reaction score
2,658
Kwa sababu hiyo app ndio inasababisha simu za iphone zionekane ni mbovu kwa sababu ya kufunguliwa mara kwa mara, kwaajili ya kubadilisha battery unakuta fundi kwa bahati mbaya amekanda mikanda
Na ukijaribu kuangalia iphone matatizo mengi sugu yalianzia baada ya kubadilisha battery,

Pili hiyo battery health ya iphone mara nyingi huwa inadanganya 1 kwa sababu hiyo battery health inawezekana ikawa 80% halafu inakaa chaji sawa na ambayo ipo 99%, na kuna battery inaweza ikawa ina health 100% halafu ukaifungua ndani ukakuta imevimba, na kuna battery original unaweza ukabadilisha leo lakini lakini baada ya mwezi mmoja ikashuka kwa 50%

Cha ajabu unakuta kuna mtu leo hii iphone 15 kuna mtu anahangaika kubadilisha battery na wakati huo samsung s20 utra iliyoka toka miaka mitano nyuma bado bettery inafanya kazi vizuri.

Na ujinga mwingine uliofanywa ni kwamba hiyo battery health ya iphone kuna mashine ya kureset inarudi 100%
 
Unaongelea Kwa point of view ya soko la Tanzania ambalo limejaa bidhaa feki, hio battery inayoonyesha health kubwa na haikai na chaji ni feki, na battery OG Kwa macho ya fundi mbongo na macho ya Apple ni tofauti. Battery zote Tanzania OG na feki ni feki, asilimia 99.9 hawana uwezo wa kununua battery OG.

Battery ikiwa huko marekani ni $99 mpaka ikija hapa si chini ya 350K Nani ananunua battery ya iPhone Kwa bei hio?

Na Apple hawawezi kutoa battery health features kuridhisha watu ambao wanatumia bidhaa feki.
 
Unaongelea Kwa point of view ya soko la Tanzania ambalo limejaa bidhaa feki, hio battery inayoonyesha health kubwa na haikai na chaji ni feki, na battery OG Kwa macho ya fundi mbongo na macho ya Apple ni tofauti. Battery zote Tanzania OG na feki ni feki, asilimia 99.9 hawana uwezo wa kununua battery OG.

Battery ikiwa huko marekani ni $99 mpaka ikija hapa si chini ya 350K Nani ananunua battery ya iPhone Kwa bei hio?

Na Apple hawawezi kutoa battery health features kuridhisha watu ambao wanatumia bidhaa feki.
case closed👏🏿
 
Kwa sababu hiyo app ndio inasababisha simu za iphone zionekane ni mbovu kwa sababu ya kufunguliwa mara kwa mara, kwaajili ya kubadilisha battery unakuta fundi kwa bahati mbaya amekanda mikanda
Na ukijaribu kuangalia iphone matatizo mengi sugu yalianzia baada ya kubadilisha battery,

Pili hiyo battery health ya iphone mara nyingi huwa inadanganya 1 kwa sababu hiyo battery health inawezekana ikawa 80% halafu inakaa chaji sawa na ambayo ipo 99%, na kuna battery inaweza ikawa ina health 100% halafu ukaifungua ndani ukakuta imevimba, na kuna battery original unaweza ukabadilisha leo lakini lakini baada ya mwezi mmoja ikashuka kwa 50%

Cha ajabu unakuta kuna mtu leo hii iphone 15 kuna mtu anahangaika kubadilisha battery na wakati huo samsung s20 utra iliyoka toka miaka mitano nyuma bado bettery inafanya kazi vizuri.

Na ujinga mwingine uliofanywa ni kwamba hiyo battery health ya iphone kuna mashine ya kureset inarudi 100%
HIzo iphone za kariakoo ambazo zinatoka dubai, na asian market nyingi zinakuwa zimeshafunguliwa.

Purcha origanal form US au europe tena kwa shipping, yangu nime purchase mwaka jana on feb, haijanipashida ya battery wala nn, na bado iko 100. Haijawahi kuaa opened
 
Unaongelea Kwa point of view ya soko la Tanzania ambalo limejaa bidhaa feki, hio battery inayoonyesha health kubwa na haikai na chaji ni feki, na battery OG Kwa macho ya fundi mbongo na macho ya Apple ni tofauti. Battery zote Tanzania OG na feki ni feki, asilimia 99.9 hawana uwezo wa kununua battery OG.

Battery ikiwa huko marekani ni $99 mpaka ikija hapa si chini ya 350K Nani ananunua battery ya iPhone Kwa bei hio?

Na Apple hawawezi kutoa battery health features kuridhisha watu ambao wanatumia bidhaa feki.
🤣
 
Back
Top Bottom