Nashauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu "Army of None" cha Paul Scharre ili atuondolee aibu ya kubebesha magunia makomandoo kwenye sherehe za uhuru

US siku hizi wanaajiri hadi walemavu kuwa Maaskari wakati Tz kuwa na tatoo tu ni disqualification.
 
Mleta mada yupo sahihi sana...haya mambo ya mizigo,magogo hapana.Tunataka tuone drone zao,uwezo wa kuzuia majanga,ndege za kisasa nk...what they are doing its out of business
 
Hivi mama hawezi kwenda kuwaomba israel watukopeshe lile li mtambo lao la kuzuia mabomu?
 
Ni sawa lkn labda mwisho pamoja na kupiga kwa teknolojia UTEKE ENEO LA KUFIKIRIKA sio physical area on the earth.
Vyovyote physical inahitajika
 
Yaani unajua kuliko makamanda walioko vikosini siyo?

Unajua maana ya hiyo mizigo? Ina manufaa yapi kimedani na inamjenga nini askari?
 
Nanyi wote wawili mkasome:-

1. War is mainly a catalogue of blunders. ... The power of making war often prevents it, Lewis F. Korns.

2. War settles nothing, Herbert V. Prochnow.

3. Armies are not bad things in themselves; it’s war that’s evil, Dwight D. Eisenhower.

NB.
Duniani kote watu weupe wanaiheshimu Afrika pekee kwa vita aina ya guerrilla (vita vya msituni) . Hii ndiyo version ya vita iliyoleta ukombozi Afrika. US imejaribu kujifunza guerrilla lakini imewashinda, wamepoteza wapiganaji wengi kwenye mazoezi ya medani ya guerrilla. Guerrilla haihitaji teknolojia kubwa ya gharama na inahitaji mbinu kama hizo za ubebaji magunia mgongoni (uimara physically).

Aidha, Afrika haina uwezo wa kununua teknolojia hizo unazosema, labda baada ya miaka 50 ijayo, hivyo inabidi Afrika itegemee ilichonacho mkononi (guerrilla/ubebaji magunia).
 
Ningeisoma hii post nisinge comment.
Mada closed
Wangeweza kutuonesha namna drone inavyoweza kwenda kariakoo ikiongozwa na mtu aliyeko Uhuru ikachagua mtu mmoja aliyeko kwenye kundi la watu na kumshambulia walau hata kwa kumwagia maji lakini siyo kutubebeshea vifurushi vya kilo 200 wanajeshi wetu.
 
Hayo ni maonesho tu
Hata nchi zilizoendelea wanafanya, haina maana ndio kinachotokea wakati wa vita
 
hiyo guerrilla war haina maisha marefu duniani ndugu yangu
 
Pretend to be weak when it stronger and stronger when ur weak so that u will make it enemies to focus on the tree instead of the whole forest[emoji1534]
Please give this man a Bells!!
 

mwaka unaokuja kuna komando hatakuja kubeba kontena kwenye maonyesho.

Tatizo lilopo jeshi na nilishawahi kueleza mda mrefu hapa jf kuhusu swala la teknolojia na mbinu huwa zinaanzia jeshini kwanza.
ukitaka kujua jeshi ndio wakanza kuwa nateknolojia nyingi kabla ya kuanza kuingia mtaani.
anza kuangalia historia za vita na vipi viligunduliwa na kuongezwa ujuzi au kuvumbulia kama mawasiliano bila jeshi basi ingekuwa ngumu.
vifaa vya uchunguzi bila ussr na usa vita baridi tusingekuwa na setelite.

ila ningekuwa mwandishi mzuri ningeeleza vzuri na wangejifunza kwa nilicho jifunza kwa kutembea na kuona
 
Wangeweza kutuonesha namna drone inavyoweza kwenda kariakoo ikiongozwa na mtu aliyeko Uhuru ikachagua mtu mmoja aliyeko kwenye kundi la watu na kumshambulia walau hata kwa kumwagia maji lakini siyo kutubebeshea vifurushi vya kilo 200 wanajeshi wetu.
Hiyo teknolojia tunayo?
 
Uwezo wa majeshi yatu ni kuilinda Ccm - Mdarakani na si uwezo wa kuilinda nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…