Nashauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu "Army of None" cha Paul Scharre ili atuondolee aibu ya kubebesha magunia makomandoo kwenye sherehe za uhuru

Kubeba magunia tupu kunaisaidia nn Tanzania
 
What is ur opinion about King David. Jamaa hakuwahi kushindwa vita yoyote. What was his military techniques?
 
Hasa chadema
Wanasema wao ni akili kubwa....! Akili kubwa inashindwa kupata wabunge watatu kwenye uchaguzi mkuu uliopita mpaka wapate wabunge wa 'mshanage' kwa mlango viti maalumu. Nikiwaangalia na sema ka kak ka kaaaa!
 
Hiyo teknolojia tunayo?
Idd Amin Dada tulimpiga kwa akili kwa silaha zake za msaada.

Tz imewekeza kwenye mafunzo zaidi (akili) wakati ikisubiri kupata uchumi wa kununua teknolojia.

Tz inajifunza silaha ambazo haina na haiwezi kuzinunua hata kwa miongo 4 mbele, ikitokea vita kama ilivyokuwa Kagera, TPDF inatumia akili kuteka na kuchukuwa silaha hizo za teknolojia ya juu na kuzitumia kushinda medani.

Ndyo maana ni jeshi bora Afrika ambalo UN inalitegemea sana kwasababu silaha nyingi ilizonazo UN, TPDF inajuwa kuzitumia bila kuhitaji mafunzo makubwa japo hainazo kwenye makambi yake.
 
inaonesha hujui chochote kuhusu vita, marekani ndio wako juu kiteknolojia, umefuatilia mafunzo ya komandoo wao au uingereza? unademka dogo!
 
Unatazama in a narrow way

Kitabu kimoja kama reference ndio unaconculde in that way!?

Vita imehama focus but the threat still persists so challenging in that way you do means you lack basic knowledge ya mambo ya kijeshi
😍
 
inaonesha hujui chochote kuhusu vita, marekani ndio wako juu kiteknolojia, umefuatilia mafunzo ya komandoo wao au uingereza? unademka dogo!
Na je, kwenye maonesho ya sikukuu zao hubeba mafurushi ya magunia?
 
Najibizano ya namna hii ndio majibizano bora zaidi duniani kwa mtazamo wangu mimi
 
Mbeleni utashauri tufunge kambi za mazoezi. Maaake kwako mla chips anaweza kupigana vita akiwa na vijuice vya Mo au Azam mezani
 
NA HAKIKA NAKWAMBIA NDANI YA MIAKA 20 TU IJAYO HUTOONA WANAJESHI WAKIENDA VITANI BALI WANAKAA OFISINI LAKINI WANAFANYA MAMBO.

Bongo kuna wajuaji hadi raha.
 
NA HAKIKA NAKWAMBIA NDANI YA MIAKA 20 TU IJAYO HUTOONA WANAJESHI WAKIENDA VITANI BALI WANAKAA OFISINI LAKINI WANAFANYA MAMBO.

Bongo kuna wajuaji hadi raha.
SIYO UJUAJI NDUGU NI KUSOMA NA KUFUATILIA MAMBO YANAVYOENDA DUNIANI. MBONA IKO WAZI. WEWE BADO UNATEGEMEA VITA YA MSITUNI KWA DUNIA YA LEO KWELI?
 
..maonyesho ya askari kujibamiza na matofali ni UJINGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…