Zile ni Show off za kuwatishia CHADEMA MkuuShalom from Jerusalem,
Imekuwa ni kawaida sasa kwenye kila sherehe za uhuru wa Tanganyika ama mapinduzi ya Zanzibar jeshi letu la ulinzi la wananchi wa Tanzania kutuonesha siraha na mbinu za kivita. Miongoni mwa mbinu hizo ni makomandoo wetu kubebeshwa mizigo na magunia mazito kuonesha maguvu na mabavu. Hii kwa wengi nadhani imepitwa na wakati kwa sababu vita ya sasa inahitaji teknolojia ya hali ya juu na wanajeshi wanaotumia akili zaidi kuliko mabavu.
Hatuhitaji tena mwanadamu mwenye mabavu kushinda vita bali matumizi ya technolojia ili kubaini mahali alipo adui, kumtageti na kumshambulia bila hata wewe mwenyewe kuwepo eneo la mashambulizi.
Kizazi hiki ni cha vita vya autonomous weapons hivyo sasa umefika wakati jeshi letu watuoneshe mbinu za aina hiyo na si kubeba magunia kama walivyozoea kufanya.
Namshauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu hiki "Army of None: Autonomous Weapons and the Future of War" cha Paul Scharre kitamsaidia kuja na mbinu mpya za kivita na kutuonesha ni namna gani wamejipanga kuzitumia.
Nawatakia siku njema.
View attachment 2079415
Anadhani hizo shows za makomandoo ni maamuzi ya Mabeyo peke yake.Na wewe nenda kasome " the art of war" by Sun Tzu.
"Pretend to be weak when ur stronger and stronger when ur weak so that u will make ur enemies to focus on the tree instead of the whole forest." Sun Tzu
Mabeyo yupo Sahihi kuliko unavyo weza kufikiri..
Huyo Paul Scharre ni kabulyage
Sasa hawa ndo vijana wangu wakuwatuma kaziNa wewe nenda kasome " the art of war" by Sun Tzu.
"Pretend to be weak when ur stronger and stronger when ur weak so that u will make ur enemies to focus on the tree instead of the whole forest." Sun Tzu
Mabeyo yupo Sahihi kuliko unavyo weza kufikiri..
Huyo Paul Scharre ni kabulyage
Na kama huna hiyo technologia kwa hiyo ufanyeje? Hivyo vitabu vya mabeberu kuwapotosha watu wajinga kama wewe. Wao na technolojia wameshindwa kuwashinda watu wanaolinda uhuru wao kwenye nchi kama vietnam na nchi kama syria. Pia afghanistan wameshindwa.Shalom from Jerusalem,
Imekuwa ni kawaida sasa kwenye kila sherehe za uhuru wa Tanganyika ama mapinduzi ya Zanzibar jeshi letu la ulinzi la wananchi wa Tanzania kutuonesha siraha na mbinu za kivita. Miongoni mwa mbinu hizo ni makomandoo wetu kubebeshwa mizigo na magunia mazito kuonesha maguvu na mabavu. Hii kwa wengi nadhani imepitwa na wakati kwa sababu vita ya sasa inahitaji teknolojia ya hali ya juu na wanajeshi wanaotumia akili zaidi kuliko mabavu.
Hatuhitaji tena mwanadamu mwenye mabavu kushinda vita bali matumizi ya technolojia ili kubaini mahali alipo adui, kumtageti na kumshambulia bila hata wewe mwenyewe kuwepo eneo la mashambulizi.
Kizazi hiki ni cha vita vya autonomous weapons hivyo sasa umefika wakati jeshi letu watuoneshe mbinu za aina hiyo na si kubeba magunia kama walivyozoea kufanya.
Namshauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu hiki "Army of None: Autonomous Weapons and the Future of War" cha Paul Scharre kitamsaidia kuja na mbinu mpya za kivita na kutuonesha ni namna gani wamejipanga kuzitumia.
Nawatakia siku njema.
View attachment 2079415
Hajui kuwa vitani kuna mda, mjeshi inabidi ambebe majeruhi mwenzake huku anakimbia na kujibu mashambulizi,,, kubeba uzito mkubwa kunampa askari ustahimilivu(Endurance)Mleta mada hajui vita
Kuna ebeo unahitaji physical presence sio teknolojia tu
Osama kuua kulitumika mbinu zote physical na technological
Kuteka hutumii teknolojia tu au kupambana na magaidi huhitaji teknolojia tu
Hata kupambana mijini na porini na kuteka mijasusi kunahitaji physical
Unajisumbua bure kamanda kaushaHajui kuwa vitani kuna mda, mjeshi inabidi ambebe majeruhi mwenzake huku anakimbia na kujibu mashambulizi,,, kubeba uzito mkubwa kunampa askari ustahimilivu(Endurance)