Nashauri Jen. Venance Mabeyo asome kitabu "Army of None" cha Paul Scharre ili atuondolee aibu ya kubebesha magunia makomandoo kwenye sherehe za uhuru

Vijana video game zinawapoteza... Jwtz- "comando comandoo "wameenda Anjuani wakashinda - Kwa kuweka MTU ikulu sio mcjhezo !.. USA walishindwa Mogadishu ya Farah Idid ... Vita ni watu .. Hata baba ya vita zote har magedon itahusisha watu
Sisi ni bora Mkurunzinza alipinduliwa akiwa Dsm ndani ya Siku kadhaa Dw radio wakatangaza wameona msafara ukitokea Kgm kama risasi ukiingia Burundi wanaume wakaingia na kumweka Rais sehemu yake- haya mambo siyo mchezo
 
Zile ni Show off za kuwatishia CHADEMA Mkuu
 
Anadhani hizo shows za makomandoo ni maamuzi ya Mabeyo peke yake.
 
Sasa hawa ndo vijana wangu wakuwatuma kazi
 
Na kama huna hiyo technologia kwa hiyo ufanyeje? Hivyo vitabu vya mabeberu kuwapotosha watu wajinga kama wewe. Wao na technolojia wameshindwa kuwashinda watu wanaolinda uhuru wao kwenye nchi kama vietnam na nchi kama syria. Pia afghanistan wameshindwa.
 
Hajui kuwa vitani kuna mda, mjeshi inabidi ambebe majeruhi mwenzake huku anakimbia na kujibu mashambulizi,,, kubeba uzito mkubwa kunampa askari ustahimilivu(Endurance)
 
Hajui kuwa vitani kuna mda, mjeshi inabidi ambebe majeruhi mwenzake huku anakimbia na kujibu mashambulizi,,, kubeba uzito mkubwa kunampa askari ustahimilivu(Endurance)
Unajisumbua bure kamanda kausha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…