Nashauri Kadi za Harusi za Sasa ziwe na 'Options' zifuatazo.....

Nashauri Kadi za Harusi za Sasa ziwe na 'Options' zifuatazo.....

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Option #1.

Mchango ni Tsh 5,000/= Utakaa tu Ukumbini na ukipiga Miayo ila Kula utakula kwa Babaako au kwa Mkeo.

Optioy#2.

Mchango ni 15,000/= Ukiwa Ukumbini utapewa Maji Chupa Moja na Bites kadhaa ila wakati wa Kula utaishia tu Kuwashangaa Wenzako.

Option #3.

Mchango ni Tsh 50,000/= ambapo ukiwa Ukumbini utakula tu Sahani Moja ya Chakula yenye Nyama Moja tu, Maji Chupa Moja, Soda Moja na Bia Moja tu.

Option #4.

Mchango ni Tsh 100,000/= ambapo ukiwa Ukumbini utakula na Kunywa vyote vilivyopo tani yako na utaruhusiwa Kumnyanyua Mwanamke yoyote ( HATA Mke wa Mtu ) ili mcheze nae Muziki na pia utaruhusiwa Kuomba hovyo namba za Simu za Wanawake utakaowakuta humo bila Kusumbuliwa na yoyote yule.

Inakera unatoa Mchango mkubwa halafu ukiwa Ukumbini hupati Huduma za Pesa uliyoitoa huku Wahudumu ambao Pesa yako ya Mchango ndiyo imewafanya waje hapo muda wote tu wanakuangalia kwa Jicho la Ukauzu utadhani Unezamia katika hiyo Harusi.

Kuanzia Leo sichangii tena Harusi!!!!!
 
Option #1.

Mchango ni Tsh 5,000/= Utakaa tu Ukumbini na ukipiga Miayo ila Kula utakula kwa Babaako au kwa Mkeo.

Optioy#2.

Mchango ni 15,000/= Ukiwa Ukumbini utapewa Maji Chupa Moja na Bites kadhaa ila wakati wa Kula utaishia tu Kuwashangaa Wenzako.

Option #3.

Mchango ni Tsh 50,000/= ambapo ukiwa Ukumbini utakula tu Sahani Moja ya Chakula yenye Nyama Moja tu, Maji Chupa Moja, Soda Moja na Bia Moja tu.

Option #4.

Mchango ni Tsh 100,000/= ambapo ukiwa Ukumbini utakula na Kunywa vyote vilivyopo tani yako na utaruhusiwa Kumnyanyua Mwanamke yoyote ( HATA Mke wa Mtu ) ili mcheze nae Muziki na pia utaruhusiwa Kuomba hovyo namba za Simu za Wanawake utakaowakuta humo bila Kusumbuliwa na yoyote yule.

Inakera unatoa Mchango mkubwa halafu ukiwa Ukumbini hupati Huduma za Pesa uliyoitoa huku Wahudumu ambao Pesa yako ya Mchango ndiyo imewafanya waje hapo muda wote tu wanakuangalia kwa Jicho la Ukauzu utadhani Unezamia katika hiyo Harusi.

Kuanzia Leo sichangii tena Harusi!!!!!
Ujinga
 
Sikuwai toa michango na sikuwai omba mchango nilifanya sherehe ndani ya uwezo wangu
 
Mchango wa Harusi ni Kwa lengo la kusapoti na kufanikisha Harusi ili maharusi wafurahi sio waalikwa wafurahi.

Wengine tukienda kwenye harusi hatuli na hatuna time na chakula, Ila muziki naa kuserebuka ndio zetu
Ukitaka Furaha jitengenezee mwenyewe usisumbue wengine.. unaotaka kuoa jipange. Huna uwezo sio lazima harusi za kujikweza... Oa kadiri ya uwezo wako binafsi usiwe KERO kwa wengine. Harusi sio emergence !!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ukitaka Furaha jitengenezee mwenyewe usisumbue wengine.. unaotaka kuoa jipange. Huna uwezo sio lazima harusi za kujikweza... Oa kadiri ya uwezo wako binafsi usiwe KERO kwa wengine. Harusi sio emergence !!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Hata hivyo usialike watu wenye njaa, toa Kadi za Moto Kwa watu wachache wanaoweza kutoa pesa ya kutosha,
 
Harusi waachieni wachaga na wahaya wengine sio lazima. Sisi uchagani ukitaka kuoa bwana harusi unatakiwa uweke millio 3 mezani kwanza ndo uombe wakuchangia. Juzi nimeenda kwenye kikao bwana harusi kahaidi laki mbili na sio kwamba katoa la hasha kahaidi kutoa laki mbili kwa hiyo inawezekana atoe au asitoe. Hapo watu wanageuza harusi mitaji wanafikiri tu kila mtu anakaa ukumbini. .

Kitu kingine sahani huwa zinalipiwa kuanzia elfu 8 mpaka 15 kwa harusi nyingi. Kinachofanya harusi iwe gharama sio chakula. Unaweza pika wali maharage na watu wakala vizuri. Nimejifunza kuwa wewe ndo wale wanaowahi kukaa mstari wa chakula hata kama hamjaitwa. Kuna harusi walianza kuchukua watu wa nyuma kwa kuwa familia walikuwa na sehemu yao ya kula maalumu, wale waliojipendekeza mbele mbele wakajikuta wa mwisho 😬
😬
 
Kuna harusi ya kilokole tulikuwa na soda na maji tu baada ya sherehe tulifagia mikopo ya castle serengeti lite chupa za kvant sant ann
 
Back
Top Bottom